Awamu ya pili na awamu ya nne wananchi walifurahia maisha

Ntozi

JF-Expert Member
Feb 1, 2021
226
299
Bila kupepesa macho,na bila kuhangaika na itikadi za vyama,na pia ukiachana na uchambuzi wa kitaalamu,awamu ya Mzee Mwinyi na awamu ya kikwete,ndizo awamu ambazo mwananchi wa kawaida alifurahia maisha.
Pamoja na mapungufu ya kiutawala yanayoongelewa katika awamu hizo,lakini pesa ilipatikana kirahisi, mahitaji muhimu yalipatikana Kwa bei ya kumudu,ajira zilikuwepo muda wote nk
Nyerere kipindi chake, changamoto zilitokana na uchanga wa nchi baada ya Uhuru,wasomi walikuwa wachache,Sera ya ujamaa na Vita vya kagera.Changamoto hizo,zilipelekea wananchi kuishi maisha magumu yasiyoelezeka.sabuni,Colgate,sukari na mahitaji mengine yaligeuka kuwa anasa,kiasi kuwa kukutwa navyo ilikuwa ni tayari uhujumu uchumi.Hivyo Mwinyi alipoingia aliamua kuachana na Sera mbovu za awamu illiyopita na kuruhusu biashara huria.Mzee anapendwa hadi Leo.
Mkapa alikuja na Sera yake ya kubana matumizi,na kulipa madeni ya nje.Awamu ikaitwa ukapa.Mzunguko wa hela ukawa mgumu kwelikweli.
Kikwete alipoingia mambo yakafunguka tena,kazi na bata, siasa zikafanyika.wenye kusema wakasema,wakulaumu wakalaumu.Baada ya hapo ni historia. Awamu ya tano ilikuja na imepita, Watu Kwa sasa wanaiangalia awamu ya 6.Mama anaongea vizuri Sana,Kwa sauti ya matumaini,Kwa lugha ya staha na upole,hivyo wananchi wanasubiri matendo sasa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Siwezi kucomenti chochote kuhusu awamu ya pili maana nilikuwa nakula ugali wa shikamoo

Ila kuhusu awamu ya nne Kusema watu walienjoy maisha nakataa kabisa.Kwa kifupi ndy awamu iliyonifanya nikapigwa na jua pamoja na maelfu ya wapenda demokrasia pale jangwani kuwasubiri UKAWA ili mradi Tu CCM itoke madarakani Kwa nguvu zote maana raia walichoka Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu.

Awamu ya nne nilishuhudia Mzee amevaa nguo ya CCM imeandikwa maisha Bora Kwa kila mtanzania akawa anazomewa mtaani na wananchi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kifupi mtanzania hajawahi kuenjoy maisha katika awamu yoyote.Hiyo awamu ya nne unayoisifia ilijaa mafisadi na mapapa wauza ngada Tu kiasi kwamba raia wa kawaida ukizingua Tu utasikia unaambiwa unanijua Mimi ni nani.Km hunijui babaako kule ilulu ananijua.Unapigwa risasi ya kalio na hufanyi lolote

Wengine waliwahi kujibiwa siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Siwezi kucomenti chochote kuhusu awamu ya pili maana nilikuwa nakula ugali wa shikamoo

Ila kuhusu awamu ya nne Kusema watu walienjoy maisha nakataa kabisa.Kwa kifupi ndy awamu iliyonifanya nikapigwa na jua pamoja na maelfu ya wapenda demokrasia pale jangwani kuwasubiri UKAWA ili mradi Tu CCM itoke madarakani Kwa nguvu zote maana raia walichoka Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu.

Awamu ya nne nilishuhudia Mzee amevaa nguo ya CCM imeandikwa maisha Bora Kwa kila mtanzania akawa anazomewa mtaani na wananchi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ni Bora Uhuru wa kisiasa kama ule ambao kama sio njama ovu,tungeshuhudia utawala wa chama kingine.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwa kifupi mtanzania hajawahi kuenjoy maisha katika awamu yoyote.Hiyo awamu ya nne unayoisifia ilijaa mafisadi na mapapa wauza ngada Tu kiasi kwamba raia wa kawaida ukizingua Tu utasikia unaambiwa unanijua Mimi ni nani.Km hunijui babaako kule ilulu ananijua.Unapigwa risasi ya kalio na hufanyi lolote

Wengine waliwahi kujibiwa siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hahahahahah ila alipopewa cheo cha mwenye mbwa aliwanyorosha vilivyo wavuta fegi wote wa kiponjoro raha ya adabu ije kwa suprise pamoja na wanasheria ishirini toka UK jamaa alizima fegi😂
 
Bila kupepesa macho,na bila kuhangaika na itikadi za vyama,na pia ukiachana na uchambuzi wa kitaalamu,awamu ya Mzee Mwinyi na awamu ya kikwete,ndizo awamu ambazo mwananchi wa kawaida alifurahia maisha.
Pamoja na mapungufu ya kiutawala yanayoongelewa katika awamu hizo,lakini pesa ilipatikana kirahisi, mahitaji muhimu yalipatikana Kwa bei ya kumudu,ajira zilikuwepo muda wote nk
Nyerere kipindi chake, changamoto zilitokana na uchanga wa nchi baada ya Uhuru,wasomi walikuwa wachache,Sera ya ujamaa na Vita vya kagera.Changamoto hizo,zilipelekea wananchi kuishi maisha magumu yasiyoelezeka.sabuni,Colgate,sukari na mahitaji mengine yaligeuka kuwa anasa,kiasi kuwa kukutwa navyo ilikuwa ni tayari uhujumu uchumi.Hivyo Mwinyi alipoingia aliamua kuachana na Sera mbovu za awamu illiyopita na kuruhusu biashara huria.Mzee anapendwa hadi Leo.
Mkapa alikuja na Sera yake ya kubana matumizi,na kulipa madeni ya nje.Awamu ikaitwa ukapa.Mzunguko wa hela ukawa mgumu kwelikweli.
Kikwete alipoingia mambo yakafunguka tena,kazi na bata, siasa zikafanyika.wenye kusema wakasema,wakulaumu wakalaumu.Baada ya hapo ni historia. Awamu ya tano ilikuja na imepita, Watu Kwa sasa wanaiangalia awamu ya 6.Mama anaongea vizuri Sana,Kwa sauti ya matumaini,Kwa lugha ya staha na upole,hivyo wananchi wanasubiri matendo sasa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
eti kazi na bata 😅😅😅😅
 
Bila kupepesa macho,na bila kuhangaika na itikadi za vyama,na pia ukiachana na uchambuzi wa kitaalamu,awamu ya Mzee Mwinyi na awamu ya kikwete,ndizo awamu ambazo mwananchi wa kawaida alifurahia maisha.
Pamoja na mapungufu ya kiutawala yanayoongelewa katika awamu hizo,lakini pesa ilipatikana kirahisi, mahitaji muhimu yalipatikana Kwa bei ya kumudu,ajira zilikuwepo muda wote nk
Nyerere kipindi chake, changamoto zilitokana na uchanga wa nchi baada ya Uhuru,wasomi walikuwa wachache,Sera ya ujamaa na Vita vya kagera.Changamoto hizo,zilipelekea wananchi kuishi maisha magumu yasiyoelezeka.sabuni,Colgate,sukari na mahitaji mengine yaligeuka kuwa anasa,kiasi kuwa kukutwa navyo ilikuwa ni tayari uhujumu uchumi.Hivyo Mwinyi alipoingia aliamua kuachana na Sera mbovu za awamu illiyopita na kuruhusu biashara huria.Mzee anapendwa hadi Leo.
Mkapa alikuja na Sera yake ya kubana matumizi,na kulipa madeni ya nje.Awamu ikaitwa ukapa.Mzunguko wa hela ukawa mgumu kwelikweli.
Kikwete alipoingia mambo yakafunguka tena,kazi na bata, siasa zikafanyika.wenye kusema wakasema,wakulaumu wakalaumu.Baada ya hapo ni historia. Awamu ya tano ilikuja na imepita, Watu Kwa sasa wanaiangalia awamu ya 6.Mama anaongea vizuri Sana,Kwa sauti ya matumaini,Kwa lugha ya staha na upole,hivyo wananchi wanasubiri matendo sasa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app


Yale madeni ndiyo tunalipa sasa. Yaani hata stendi na shule ziliwashinda
 
jambo ambali litamsaidia sana Mama kwenye utawala wake ni kubana matumizi ya serikali na taasisi zake zoote... Mama anapaswa kuwapa kazi watalaam waangalie sehemu zote ambazo Taifa linaweza kubana matumizi na hela tunazoweza kusave....

Matumizi ya magari aina ya V8 mijini yapigwe marufuku, yatumike tu kunapokuwa na ziara za vijijini kwenye barabara Mbovu.. RC's, DC's, Ras, Das, Mawaziri nk wanaweza kutumia gari zenye cc ndogo wawapo mijini...
Misafara ya viongozi ipunguzwe kwa kutumia mabus aina ya coaster na gari moja ya escort..
Energy management maofisi itiliwe mkazo, kuzima computer's, AC's, Taa nk zinapokuwa hazitumiki..
Semina zianze kufanyika online, (zoom, webex nk), au kwenye kumbi za serikali...

Itasaidia sana kumpunguzia mwananchi mzigo na hizi tozo...
 
Shule za kata nchi nzima kwako siyo shule!

Wakati ule yalikuwa mashindano ya wizi. Wangefanya hata 50% tungekuwa mbali sana. Pesa imeliwa na wachache sana mashirika ya umma kuanzia tanesco , nssf, hata bank kuu ni upigaji tu na hakuna la kuonyesha . Yaani miaka 6 tu ndiyo tujenge bwawa, clinics zote wilayani, barabara karibu zote, madaraja, stendi, treni ya umeme, meli, kukuza bandari, madaraja ya wami, salender na mwanza. Soko la dhahabu, ukuta mererani…. Yaani hao walio pita miaka 20 walifanya nini👨
 
Wakati ule yalikuwa mashindano ya wizi. Wangefanya hata 50% tungekuwa mbali sana. Pesa imeliwa na wachache sana mashirika ya umma kuanzia tanesco , nssf, hata bank kuu ni upigaji tu na hakuna la kuonyesha . Yaani miaka 6 tu ndiyo tujenge bwawa, clinics zote wilayani, barabara karibu zote, madaraja, stendi, treni ya umeme, meli, kukuza bandari, madaraja ya wami, salender na mwanza. Soko la dhahabu, ukuta mererani…. Yaani hao walio pita miaka 20 walifanya nini
Muhulize bhakharesa utajiri alionao aliupata kipindi gani.
 
Siwezi kucomenti chochote kuhusu awamu ya pili maana nilikuwa nakula ugali wa shikamoo

Ila kuhusu awamu ya nne Kusema watu walienjoy maisha nakataa kabisa.Kwa kifupi ndy awamu iliyonifanya nikapigwa na jua pamoja na maelfu ya wapenda demokrasia pale jangwani kuwasubiri UKAWA ili mradi Tu CCM itoke madarakani Kwa nguvu zote maana raia walichoka Kwa jinsi maisha yalivyokuwa magumu.

Awamu ya nne nilishuhudia Mzee amevaa nguo ya CCM imeandikwa maisha Bora Kwa kila mtanzania akawa anazomewa mtaani na wananchi

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Bahati mbaya macho yako yanachagua kukuonesha kile moyo wako unapenda,awamu ya 3 palikua na magari laki 2 dar,awamu ya 4 yalikua laki 8,angalia uanzishwaji na ukuaji wa biashara,sekta ya ujenzi ilikuwaje..ukweli ni kwamba watu wa parokia wa Tanzania hawawezi kuingiza..ni mahodari wa kutawala
 
Wakati ule yalikuwa mashindano ya wizi. Wangefanya hata 50% tungekuwa mbali sana. Pesa imeliwa na wachache sana mashirika ya umma kuanzia tanesco , nssf, hata bank kuu ni upigaji tu na hakuna la kuonyesha . Yaani miaka 6 tu ndiyo tujenge bwawa, clinics zote wilayani, barabara karibu zote, madaraja, stendi, treni ya umeme, meli, kukuza bandari, madaraja ya wami, salender na mwanza. Soko la dhahabu, ukuta mererani…. Yaani hao walio pita miaka 20 walifanya nini👨
Hivyo ulivyovitaja kwa miaka 6 Wala havipo,na huenda visiwepo miaka 4 ijayo
 
Back
Top Bottom