Wananchi wamechanganyikiwa hawatambui kama wapo awamu ya Nne au ya Sita

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,671
40,913
Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).

Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne./ Sita( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)

Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)

Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).

Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.

Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
 
Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).

Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne. ( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)

Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)

Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).

Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.

Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
POLEPOLE ALISEMA HII NI AWAMU YA 5 KWA SABABU ILANI NI ILE ILE MAMA ANAENDESHA BASI LILE LILE ALILOKUWA ANAENDESHA MAGUFULI SIO BUS JIPYA

YALIYOMPATA NI KUVULIWA UBUNGE KUTUPWA MALAWI ili tuwe salama basi

HII NI AWAMU YA 6
20220314_215741.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).

Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne. ( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)

Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)

Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).

Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.

Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
Kuna watu ni takataka Sana na mumejaa mausaa kichwani 😆😆..

Eti hakuna makusanyo ma weeee,hivi uko Tanzania au unaishi Sri Lanka..

Unaweza ongeza mabilioni kwa mabilioni Kwenye bajeti kama huna makusanyo? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220608-201049.png
    Screenshot_20220608-201049.png
    110.2 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220608-201011.png
    Screenshot_20220608-201011.png
    59.1 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220608-201213.png
    Screenshot_20220608-201213.png
    72.5 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220607-223105.png
    Screenshot_20220607-223105.png
    151.4 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220606-215028.png
    Screenshot_20220606-215028.png
    151.7 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220606-215045.png
    Screenshot_20220606-215045.png
    117.2 KB · Views: 16
POLEPOLE ALISEMA HII NI AWAMU YA 5 KWA SABABU ILANI NI ILE ILE MAMA ANAENDESHA BASI LILE LILE ALILOKUWA ANAENDESHA MAGUFULI SIO BUS JIPYA
YALIYOMPATA NI KUVULIWA UBUNGE KUTUPWA MALAWI ili tuwe salama basi
HII NI AWAMU YA 6View attachment 2255402

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app

Basi lilelile, makonda & wapigadebe walewale, route ileile na destination ileile ya 2025!
 
Ukiangalia mfumo wa uongozi wa awamu ya sita na nne vinafanana sana. (Makusanyo hafifu ya kodi na gharama kubwa za maisha kwa wananchi kwa manufaa ya wafanaya biashara, huduma mbovu za sekta ya umma).

Viongozi waliokuwa awamu ya nne katika mashirika ya umma na taasisi nyingine wamerejea kwenye nafsi zao awamu hii ya nne. ( Kinana, Makamba, Nehemia Mchechu)

Baadhi ya mambo yaliyopewa kipaumbele awamu ya nne yamerejea tena kwa kasi awamu ya sita.( Mfano uuzwaji wa wanyama pori na mbuga za wanyama)

Marafiki na wadau wa awamu ya nne ndio hao wenye nafasi awamu hii ya sita. (Mfano Rostam Aziz).

Sasa tunashindwa kuelewa kama tumerejea awamu ya nne au ni awamu ya sita iliyoboresha ya awamu ya nne.

Tuna kila sababu ya kuiona awamu ya sita na sio kuiona awamu ya nne katika awamu ya sita au kuiona awamu ya sita iliyoboresha awamu ya nne.
MUNGU ni MWEMA sana kwa kulifyeka dikteta March 2021.
 
Kuna watu ni takataka Sana na mumejaa mausaa kichwani 😆😆..

Eti hakuna makusanyo ma weeee,hivi uko Tanzania au unaishi Sri Lanka..

Unaweza ongeza mabilioni kwa mabilioni Kwenye bajeti kama huna makusanyo? 👇
TRA wameacha kutangaza makusanyo ya kila mwezi.

Hali ni mbaya mno.
 
TRA wameacha kutangaza makusanyo ya kila mwezi.

Hali ni mbaya mno.
Ndio maana nakwambia wewe ni mjinga Sana, toka lini Samia alivyoingia TRA ikatangaza mapato Kila mwezi? Huwa wanatangaza Kila robo kwa hiyo robo ya 4 subiria mwezi wa 8 kama tuu wanavyofanya Tamisemi..

Mataahira wa Mwendazake mkiona hivi mnachanganyikiwa kabisaa, mama kaongeza mapato kutoka Til.1.3 kwa mwezi hadi Til.1.8 kwa mwezi..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220406-164902.png
    Screenshot_20220406-164902.png
    90.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220406-163449.png
    Screenshot_20220406-163449.png
    53.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220608-153415.png
    Screenshot_20220608-153415.png
    35 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220608-153437.png
    Screenshot_20220608-153437.png
    130.5 KB · Views: 10
Ndio maana nakwambia wewe ni mjinga Sana,Toka lini Samia alivyoingia TRA ikatangaza mapato Kila mwezi? Huwa wanatangaza Kila robo kwa hiyo robo ya 4 subiria mwezi wa 8 kama tuu wanavyofanya Tamisemi..

Mataahira wa Mwendazake mkiona hivi mnachanganyikiwa kabisaa,mama kaongeza mapato kutoka Til.1.3 kwa mwezi hadi Til.1.8 kwa mwezi..👇
Wanafanya hivyo kwa kuwa figure za kila mwezi ni rahisi kushitukiwa kuwa makisanyo yamepungua.

Ila wakijumuisha na kutoa kwa pamoja haitashitua sana.

Ni mbinu ndogo tu ambayo inafanya kazi kwako.
 
Back
Top Bottom