Awamu ya 6: Tusije zembea ujenzi wa Bwawa la uzalishaji umeme Stieglers Gorge

Gas ni yetu boss. Huenda hauko hapa nchini. Ni hivi kuna bomba la gas toka mtwara hadi hapo kinyerezi na uzalishaji wa mg 450 mpaka sasa unaendelea. Jikite hapo badala ya hizo post zako za kiingereza hapo juu bro.

Gas ya mchina na mzungu. Unainunua kutoka kwa market price. Ni sawa useme dhahabu ya kahama Barrick ni yenu.

Running cost ya gas plant ni very high ya maji running cost ni almost bure ukisha install. Pland ya gas ni ya short term kwa nchi kama TZ huwezi sustain kununua gas mda wote kutoka kwa mzungu anayeishimba huko chini ya bahari na uka generate umeme mkubwa. Kwanza bei ya gas yenyewe tu inazidi ya umeme sahivi halafu ununue u generate ma megawatt for long term huwezi.
 
Mkuu,
Mimi ni nipo hapa Tanzania ni mkulima na mfugaji.

Bei za umeme unaozalishwa kwa maji zinakuwa hazibadiliki kama bei ya umeme unaozalishwa kwa gesi au petrol.

Angalia kwa wenzetu wanaotegemea umeme wa gesi wanavyoteseka na bei


Wenzetu wnaotegemea umeme wa gesi bei zimeongezeka si chini ya mara 4 kwa mwaka huu peke yake!
Ndio, gesi inazalishwa uko Mtwara lakini na makampuni ya nje. Mikataba yetu na wao inasemaje gesi ikipanda kwenye soko la dunia? Mfano sasa bei za gasi na demand zipo juu Europe. Hao bado wataendelea ku supply kwa bei ile ile na supply bila kupungua?
Hawa wananunua gesi kutoka Urusi. Sisi gesi ni yetu na kwa vile tutauza nyingine nje, tutafaidika kila ikipanda bei. Faidi kubwa kwetu ya kutumia gesi yetu ni uhakika wa kuwa na umeme mwaka mzima bila matatizo. Huo wa gesi siku zote unatusumbua kwa sababu hatuna uhakika na hali ya mvua na matope yanayojaa kwenye bwawa. Wawekezaji wanaangalia zaidi uhakika wa nishati kuliko bei maana bei inaweza kufidiwa na mlaji wa mwisho.

Amandla...
 
Kama ni hivyo mbona umempa angalizo yeye?....ok kama ni angalizo kwa awamu ya sita basi usifunike funike hili angalizo lipeleke moja kwa moja kwa Rais.
Nipo tayari kusahihishwa
anayehusika ni makamba.
yeye ndo anayeweza kutoa amri mradi uende vipi.kama atazembea hata wa chini yake watazembea.
Kuna haha gani ya kuwa na waziri?
Yeye akisema pesa hamna ya kujenga hapo" inaingia serikali"
 
Hawa wananunua gesi kutoka Urusi. Sisi gesi ni yetu na kwa vile tutauza nyingine nje, tutafaidika kila ikipanda bei.
Mkuu,
Bei ikipanda inakuwa haitunufaishi sisi kutoka na gharama zao za uwezekaji.
Mfano, Barrick Gold tangu waanze mining na bei ya Gold kwenye soko la Dunia inapopanda. Imekuwa na faida yoyote kwetu?

Equinor ASA wamesema watawekeza zaidi ya dola bilioni 30 na sisi tunashangilia bila question hizo gharama. Hii itachukua miaka mingi kwa wao kirudisha gharama zao na wakikaribia kurudisha. Wanadai mitambo imeshachakaa inabidi wawekeze tena. Kwa hiyo hata bei ya gesi ikiwa inapanda. Kiuhalisia itakuwa haituhusu..tutakuwa watazamaji!!

Wawekezaji wanaangalia zaidi uhakika wa nishati kuliko bei maana bei inaweza kufidiwa na mlaji wa mwisho.

Amandla...
Gharama ya nishati ikiwa juu. Hata bidhaa zinazozalishwa inabidi ziwe bei juu. Halafu tutashindwa kushindanisha bidhaa zetu na nchi nyingine!!
 
Mkuu,
Bei ikipanda inakuwa haitunufaishi sisi kutoka na gharama zao za uwezekaji.
Mfano, Barrick Gold tangu waanze mining na bei ya Gold kwenye soko la Dunia inapopanda. Imekuwa na faida yoyote kwetu?

Equinor ASA wamesema watawekeza zaidi ya dola bilioni 30 na sisi tunashangilia bila question hizo gharama. Hii itachukua miaka mingi kwa wao kirudisha gharama zao na wakikaribia kurudisha. Wanadai mitambo imeshachakaa inabidi wawekeze tena. Kwa hiyo hata bei ya gesi ikiwa inapanda. Kiuhalisia itakuwa haituhusu..tutakuwa watazamaji!!


Gharama ya nishati ikiwa juu. Hata bidhaa zinazozalishwa inabidi ziwe bei juu. Halafu tutashindwa kushindanisha bidhaa zetu na nchi nyingine!!
Spot on mkuu.
Tatizo kubwa kuna wachanguaji wanaongea kishabiki badala ya kudadavua facts za miradi na uhalisia katika uchumi wa nchi yetu.
 
Mkuu,
Mimi ni nipo hapa Tanzania ni mkulima na mfugaji.

Bei za umeme unaozalishwa kwa maji zinakuwa hazibadiliki kama bei ya umeme unaozalishwa kwa gesi au petrol.

Angalia kwa wenzetu wanaotegemea umeme wa gesi wanavyoteseka na bei


Wenzetu wnaotegemea umeme wa gesi bei zimeongezeka si chini ya mara 4 kwa mwaka huu peke yake!
Ndio, gesi inazalishwa uko Mtwara lakini na makampuni ya nje. Mikataba yetu na wao inasemaje gesi ikipanda kwenye soko la dunia? Mfano sasa bei za gasi na demand zipo juu Europe. Hao bado wataendelea ku supply kwa bei ile ile na supply bila kupungua?
Sipingi kabisa usemacho, lakini gesi ni yetu tukumbuke.
 
Gas ya mchina na mzungu. Unainunua kutoka kwa market price. Ni sawa useme dhahabu ya kahama Barrick ni yenu.

Running cost ya gas plant ni very high ya maji running cost ni almost bure ukisha install. Pland ya gas ni ya short term kwa nchi kama TZ huwezi sustain kununua gas mda wote kutoka kwa mzungu anayeishimba huko chini ya bahari na uka generate umeme mkubwa. Kwanza bei ya gas yenyewe tu inazidi ya umeme sahivi halafu ununue u generate ma megawatt for long term huwezi.

Mkuu uko sahihi kabisa, swali, tulipoanza tunatumia umeme wa maji bei ilikuwa rahisi?
 
Mkuu uko sahihi kabisa, swali, tulipoanza tunatumia umeme wa maji bei ilikuwa rahisi?
Mkuu,bei ya umeme wa maji hata sahivi ni rahis sana. Tatizo liliopo ni siyo wa uhakika sahivi miundo mbinu ilijengwa na wazungu miaka 100 iliyopita. Na mitambo ime depreciate hivyo kupelekea breakdown za mara kwa mara na kupelekea running cost kuwa juu kidogo, lakini ni bado cheap.

Mitambo ya gas ni constantly una feed gas kila unapotaka ku generate umeme. Napamoja gas iko Tanzania lakini siyo gas yetu ni gas ya mwekezaji na ukishampa mwekezaji huwezi mwambia akuuzie gas bei rahisi amaakupe bure.

Na ku maintain mitambo ya kugenerate umeme ya kutumia gas ma combustable turbines na steam turbines siyo bei ndogo hasa unapokuwa ktk uzarishaji mkubwa na kwa long term.
 
Hawa wananunua gesi kutoka Urusi. Sisi gesi ni yetu na kwa vile tutauza nyingine nje, tutafaidika kila ikipanda bei. Faidi kubwa kwetu ya kutumia gesi yetu ni uhakika wa kuwa na umeme mwaka mzima bila matatizo. Huo wa gesi siku zote unatusumbua kwa sababu hatuna uhakika na hali ya mvua na matope yanayojaa kwenye bwawa. Wawekezaji wanaangalia zaidi uhakika wa nishati kuliko bei maana bei inaweza kufidiwa na mlaji wa mwisho.

Amandla...
Mkuu gesi ya Mtwara sio yetu, mnyika na Lissu walikuwa sahihi kabisa.
Gesi tunainunua
 
Mkuu,
Bei ikipanda inakuwa haitunufaishi sisi kutoka na gharama zao za uwezekaji.
Mfano, Barrick Gold tangu waanze mining na bei ya Gold kwenye soko la Dunia inapopanda. Imekuwa na faida yoyote kwetu?

Equinor ASA wamesema watawekeza zaidi ya dola bilioni 30 na sisi tunashangilia bila question hizo gharama. Hii itachukua miaka mingi kwa wao kirudisha gharama zao na wakikaribia kurudisha. Wanadai mitambo imeshachakaa inabidi wawekeze tena. Kwa hiyo hata bei ya gesi ikiwa inapanda. Kiuhalisia itakuwa haituhusu..tutakuwa watazamaji!!


Gharama ya nishati ikiwa juu. Hata bidhaa zinazozalishwa inabidi ziwe bei juu. Halafu tutashindwa kushindanisha bidhaa zetu na nchi nyingine!!
Kutofaidishwa ni kutokana na mkataba unaoingia na wazalishaji sio kutokana na gharama za uendeshaji. Kwani Botswana wanachimba wenyewe almasi yao? Mbona wamefaidika nayo sana? Qatar inafaidika sana na gesi yao wakati Nigeria, Angola, Equatorial Guinea na Gabon umaskini uko pale pale pamoja na kuwa na mafuta kibao. Mauritius wametumia sukari yao vizuri na sasa wako mbali. Sisi mpaka leo tunahangaika.

Mkiwa na mikataba mibovu na watawala wanaojiangalia wenyewe hata mpewe nini hamtaendelea.

Amandla......
 
Mkuu uko sahihi kabisa, swali, tulipoanza tunatumia umeme wa maji bei ilikuwa rahisi?
mkuu Shida umeme ulipokuwa unaozalishwa na maji ulikuwa kidogo sana ndio ikapelekea kuuziwa umeme na Yale makampuni akina symbion, Dowans n.k
Hiyo ndio ikapelekea bei kuwa juu.
Waondoe makampuni yanayotuuzia umeme, alafu tuzalishe umeme wa maji kwa wingi hapo bei itakua ndogo.
 
Mkuu gesi ya Mtwara sio yetu, mnyika na Lissu walikuwa sahihi kabisa.
Gesi tunainunua
Gesi ya Mtwara ni yetu kama ilivyo madini mengine. Tunagawana mapato na wale wenye uwezo wa kuiendeleza. Mkiingia kichwa kichwa faida yote watachukua wao.

Amandla...
 
Kutofaidishwa ni kutokana na mkataba unaoingia na wazalishaji sio kutokana na gharama za uendeshaji. Kwani Botswana wanachimba wenyewe almasi yao? Mbona wamefaidika nayo sana? Qatar inafaidika sana na gesi yao wakati Nigeria, Angola, Equatorial Guinea na Gabon umaskini uko pale pale pamoja na kuwa na mafuta kibao. Mauritius wametumia Sakari yao vizuri na sasa wako mbali. Sisi mpaka leo tunahangaika.

Mkiwa na mikataba mibovu na watawala wakijiangalia wenyewe hata mpewe nini hamtaendelea.

Amandla......
Tatizo lilipo ni pale utapotaka mikataba ikufaidishe, hakuna rangi utaacha kuiona
 
mkuu Shida umeme ulipokuwa unaozalishwa na maji ulikuwa kidogo sana ndio ikapelekea kuuziwa umeme na Yale makampuni akina symbion, Dowans n.k
Hiyo ndio ikapelekea bei kuwa juu.
Waondoe makampuni yanayotuuzia umeme, alafu tuzalishe umeme wa maji kwa wingi hapo bei itakua ndogo.
Wishful thinking. Makampuni ya Symbion yalikuja baada ya uzalishaji kupungua kutokana na ukame na kujaa matope kwenye mabwawa. Hali hii itajirudia Stiegler. Ndio maana EIA ilikataa na hamna mwekezaji wa maana kwenye huyu tembo mweupe.

Amandla...
 
Mkuu,bei ya umeme wa maji hata sahivi ni rahis sana. Tatizo liliopo ni siyo wa uhakika sahivi miundo mbinu ilijengwa na wazungu miaka 100 iliyopita. Na mitambo ime depreciate hivyo kupelekea breakdown za mara kwa mara na kupelekea running cost kuwa juu kidogo, lakini ni bado cheap.

Mitambo ya gas ni constantly una feed gas kila unapotaka ku generate umeme. Napamoja gas iko Tanzania lakini siyo gas yetu ni gas ya mwekezaji na ukishampa mwekezaji huwezi mwambia akuuzie gas bei rahisi amaakupe bure.

Na ku maintain mitambo ya kugenerate umeme ya kutumia gas ma combustable turbines na steam turbines siyo bei ndogo hasa unapokuwa ktk uzarishaji mkubwa na kwa long term.

Mkuu huo umeme wa maji ni rahisi umeonea wapi? Au unatumia umeme tofauti na huu tunaotumia sisi wengine? Maana hao wataalamu wanasema umeme wa maji unapaswa kuwa shilingi 36 per unit, ila kwa sasa ni karibu kabisa ya 350+VAT. Swali si umeme wa sasa maana tunatumia na gas humo humo. Je tuliwahi kununua chini ya shilingi 200 kwa unit huko nyuma kabla ya kuanza kutumia umeme wa mafuta mazito, since gas ilianza 2014 na kuendelea.
 
Back
Top Bottom