Awamu ya 6: Tusije zembea ujenzi wa Bwawa la uzalishaji umeme Stieglers Gorge

Mimi naamini kabisa Magufuli angeweka shilingi 3t. Kwenye umeme wa gas tungepata hizo 2,115mg ambazo kawekeza 6.5t kwenye SG. Kuna watu wanaosema umeme wa maji ni rahisi na kuwa eti tumejenga kwa fedha zetu za ndani.
Hivi unajua bei ya gesi kwenye soko la dunia ni dola ngapi last month?
Kuna makampuni mengi ya gesi ya energy supply yamekufa Ulaya kutoka na bei ya gesi kuwa juu!

Almost half of all UK energy suppliers have now gone bust in the energy crisis - and more could go under​

Four providers collapsed on Tuesday alone, taking the total number of energy providers that have gone under so far this year to 22
More: Almost half of all UK energy suppliers have now gone bust in the energy crisis

Bei ya gesi imekuwa ina fluctuate sana. Bei ikipanda gharama zinamuhusu mtumiaji!!

Halafu haya makampuni ya gasi yakishaua vyanzo vingine vya umeme. Kazi yao ni moja, fanya wanavyotaka. Ukileta ubishi wana turn off supply tap kwa kisingizio cha matengenezo!

Gas prices will rise unless Britain acts to stop Russia 'holding Europe to ransom'​

  • G7 countries to hold talks on how to improve energy security
  • A quarter of Europe's gas supply comes from Russian pipelines
  • Energy Secretary Ed Davey warns prices in the UK are vulnerable
More: Gas prices will rise unless Britain acts to stop Russia 'holding Europe to ransom'
Tukizubaa haya makampuni ya gesi ndio yatakuwa “King Maker” miaka hijayo. Mkileta ubishi mtakaa gizani mpaka msalimu amri!!
 
Ona Huyu na Ma gas yake ambayo Tunanunua kwa Wazungu kwa bei ghali wanatuuzia halafu tunauchakata ndipo Tanesco anauziwa...
Acha Hizo bana...
Kama unataka Kufaidika Na Gas tafuta namna nyingine waache watu wengi wafaidike na Umeme wa Nafuu wa Maji!

Tulikuwa tunatumia umeme wa maji toka zamani, mbona bado umeme haukuwa bei rahisi? Mkaa ulikuwa bei rahisi kuliko umeme.

Ndege ni za kwetu na sio za mkopo, mbona nauli ni bei ghali kuliko ilivyokuwa fastjet? Amka unaingizwa mjini bro.
 
Hivi unajua bei ya gesi kwenye soko la dunia ni dola ngapi last month?
Kuna makampuni mengi ya gesi ya energy supply yamekufa Ulaya kutoka na bei ya gesi kuwa juu!


Bei ya gesi imekuwa ina fluctuate sana. Bei ikipanda gharama zinamuhusu mtumiaji!!

Halafu haya makampuni ya gasi yakishaua vyanzo vingine vya umeme. Kazi yao ni moja, fanya wanavyotaka. Ukileta ubishi wana turn off supply tap kwa kisingizio cha matengenezo!

Tukizubaa haya makampuni ya gesi ndio yatakuwa “King Maker” miaka hijayo. Mkileta ubishi mtakaa gizani mpaka msalimu amri!!

Gas ni yetu boss. Huenda hauko hapa nchini. Ni hivi kuna bomba la gas toka mtwara hadi hapo kinyerezi na uzalishaji wa mg 450 mpaka sasa unaendelea. Jikite hapo badala ya hizo post zako za kiingereza hapo juu bro.
 
Tulikuwa tunatumia umeme wa maji toka zamani, mbona bado umeme haukuwa bei rahisi? Mkaa ulikuwa bei rahisi kuliko umeme.

Ndege ni za kwetu na sio za mkopo, mbona nauli ni bei ghali kuliko ilivyokuwa fastjet? Amka unaingizwa mjini bro.
Umeme siyo maji tu na ni kujidanganya kufikiri hivyo.
Umeme kunageneration, transmission na hatimaye retail.
Kwenye generation ndiyo tunaingelea sasa.
Infrastructure ya umeme wa maji ni kubwa lakini maintainance ni very low, wakati umeme kama wa gesi infraatructure ya priduction gharama si za juu sana lakini maintdinance ni VERY HIGH.

Tukija kwenye transmission, kuna maintainance ya lunes na ma trasformer mazito na madogo ma switches. Hapa maintainance ndito gharama isiyokwepukika.

Mwisho ni uuzaji wa umeme kwa viwango tofauti , na hapakuna gharama zake.

Hivyo kusema umeme wa maji ulitakiwa kuwa rahisi hivo ni only comparetive terms kwa long term analysis.
 
Umeme siyo maji tu na ni kujidanganya kufikiri hivyo.
Umeme kunageneration, transmission na hatimaye retail.
Kwenye generation ndiyo tunaingelea sasa.
Infrastructure ya umeme wa maji ni kubwa lakini maintainance ni very low, wakati umeme kama wa gesi infraatructure ya priduction gharama si za juu sana lakini maintdinance ni VERY HIGH.

Tukija kwenye transmission, kuna maintainance ya lunes na ma trasformer mazito na madogo ma switches. Hapa maintainance ndito gharama isiyokwepukika.

Mwisho ni uuzaji wa umeme kwa viwango tofauti , na hapakuna gharama zake.

Hivyo kusema umeme wa maji ulitakiwa kuwa rahisi hivo ni only comparetive terms kwa long term analysis.
Safi mkuu , umelielezea vizuri hadi raha!
 
Nguvu zimeelekezwa kwenye bandari ya Msoga gang,bwawa si kipaumbele,Labda kwa vile kivuri Cha Magufuli bado kinawatesa kuutosa mradi wa bwawa.
 
Umeme siyo maji tu na ni kujidanganya kufikiri hivyo.
Umeme kunageneration, transmission na hatimaye retail.
Kwenye generation ndiyo tunaingelea sasa.
Infrastructure ya umeme wa maji ni kubwa lakini maintainance ni very low, wakati umeme kama wa gesi infraatructure ya priduction gharama si za juu sana lakini maintdinance ni VERY HIGH.

Tukija kwenye transmission, kuna maintainance ya lunes na ma trasformer mazito na madogo ma switches. Hapa maintainance ndito gharama isiyokwepukika.

Mwisho ni uuzaji wa umeme kwa viwango tofauti , na hapakuna gharama zake.

Hivyo kusema umeme wa maji ulitakiwa kuwa rahisi hivo ni only comparetive terms kwa long term analysis.

Bila kubisha hiyo hoja yako kwani ina ushawishi wa kimantiki. Tulikuwa na umeme wa hydro, tulihamishwa huko kwakuwa tatizo lilikuwa mabadiliko ya tabia nchi. Na waliosema hivyo hadi kufikia 2015, ndio hao hao walianza kusifia umeme wa maji kuwa ni wa gharama nafuu! Wakati tunatumia umeme wa maji, bado nchi yetu haikuwa nchi yenye umeme nafuu kama nchi nyingine za Afrika mashariki. Nilitaka iwe hivi, wote tunajua gharama za nishati. Anayetumia petroli anajua tofauti ya diseli nk. Anayetumia gas anajua tofauti ya gharama za mkaa, umeme nk. Sasa nilichotaka nijue tofauti ya hawa wanaotumia umeme wa gas, na maji wapi kuna nafuu, ama ungeweka mfano kuwa wakati wa umeme wa hydro mkaa ulikuwa juu kuliko umeme, lakini tulipoanza kutumia gas mkaa ukawa chino.

Ukinitajia hizo terminologies za umeme, sijui distribution, transmission, infrastructure nk, kwangu naona ni mbwembwe tu zisizo na maana yoyote. Nafananisha na hili debe la ndege zetu, lakini gharama ni juu kuliko fastjet jet. Usishangae hizi porojo zote lakini huo umeme wa maji ukianza bei zikawa hizihiz za juu, na ukiuliza zikianza story hizi hiI za maneno ya kiingereza sijui factor, mara tarrifs yaani ni vurugu tupu.
 
Nguvu zimeelekezwa kwenye bandari ya Msoga gang,bwawa si kipaumbele,Labda kwa vile kivuri Cha Magufuli bado kinawatesa kuutosa mradi wa bwawa.

Tuombe tu huo mradi wa maji utekelezwa lakini hakuna anayeogopa hicho kivuli cha Magufuli. Kama yeye alitosa miradi aliyoikuta tena kwa kuibeza, usitegemee hawa wengine wana cha kumuogopa. Ingekuwa wananchi wana nguvu hapo sawa wangeogopa. Lakini huyo Magufuli ndio aliyepora nguvu za wananchi na kuzipeleka kwenye genge la chama chake na vyombo vya dola.
 
Bila kubisha hiyo hoja yako kwani ina ushawishi wa kimantiki. Tulikuwa na umeme wa hydro, tulihamishwa huko kwakuwa tatizo lilikuwa mabadiliko ya tabia nchi. Na waliosema hivyo hadi kufikia 2015, ndio hao hao walianza kusifia umeme wa maji kuwa ni wa gharama nafuu! Wakati tunatumia umeme wa maji, bado nchi yetu haikuwa nchi yenye umeme nafuu kama nchi nyingine za Afrika mashariki. Nilitaka iwe hivi, wote tunajua gharama za nishati. Anayetumia petroli anajua tofauti ya diseli nk. Anayetumia gas anajua tofauti ya gharama za mkaa, umeme nk. Sasa nilichotaka nijue tofauti ya hawa wanaotumia umeme wa gas, na maji wapi kuna nafuu, ama ungeweka mfano kuwa wakati wa umeme wa hydro mkaa ulikuwa juu kuliko umeme, lakini tulipoanza kutumia gas mkaa ukawa chino.

Ukinitajia hizo terminologies za umeme, sijui distribution, transmission, infrastructure nk, kwangu naona ni mbwembwe tu zisizo na maana yoyote. Nafananisha na hili debe la ndege zetu, lakini gharama ni juu kuliko fastjet jet. Usishangae hizi porojo zote lakini huo umeme wa maji ukianza bei zikawa hizihiz za juu, na ukiuliza zikianza story hizi hiI za maneno ya kiingereza sijui factor, mara tarrifs yaani ni vurugu tupu.

Mkuu kwa kifupi umeme wa gesi ni ghali kuliko wa maji….habari zingine hizo ni siasa..maana wapanga bei za umeme sio maengineer…

Tuzidi kupambana kwa nguvu zote bwawa likamilike ndio maana JPM alipambana lianze mapema iwezekanavyo…vita ni kubwa maadui ni wengi ndani na nje…wabaya zaidi ni wa ndani…unaeza ukawa mmoja wa adui wa ndani bila kujijua…
 
Mkuu kwa kifupi umeme wa gesi ni ghali kuliko wa maji….habari zingine hizo ni siasa..maana wapanga bei za umeme sio maengineer…

Tuzidi kupambana kwa nguvu zote bwawa likamilike ndio maana JPM alipambana lianze mapema iwezekanavyo…vita ni kubwa maadui ni wengi ndani na nje…wabaya zaidi ni wa ndani…unaeza ukawa mmoja wa adui wa ndani bila kujijua…

Ni kweli kabisa usemacho, je wakati tunatumia umeme wa maji gharama ilikuwa nafuu? Mimi sio engineer nitaamini vipi hiki usemacho? Au niamini tu ili nipone?
 
Ni kweli kabisa usemacho, je wakati tunatumia umeme wa maji gharama ilikuwa nafuu? Mimi sio engineer nitaamini vipi hiki usemacho? Au niamini tu ili nipone?

Mkuu umejibiwa vizuri na Maso.
Mbona suala liko clear sasa.
Umeme siyo maji tu na ni kujidanganya kufikiri hivyo.
Umeme kunageneration, transmission na hatimaye retail.
Kwenye generation ndiyo tunaingelea sasa.
Infrastructure ya umeme wa maji ni kubwa lakini maintainance ni very low, wakati umeme kama wa gesi infraatructure ya priduction gharama si za juu sana lakini maintdinance ni VERY HIGH.

Tukija kwenye transmission, kuna maintainance ya lunes na ma trasformer mazito na madogo ma switches. Hapa maintainance ndito gharama isiyokwepukika.

Mwisho ni uuzaji wa umeme kwa viwango tofauti , na hapakuna gharama zake.

Hivyo kusema umeme wa maji ulitakiwa kuwa rahisi hivo ni only comparetive terms kwa long term analysis.
 
Bila kubisha hiyo hoja yako kwani ina ushawishi wa kimantiki. Tulikuwa na umeme wa hydro, tulihamishwa huko kwakuwa tatizo lilikuwa mabadiliko ya tabia nchi. Na waliosema hivyo hadi kufikia 2015, ndio hao hao walianza kusifia umeme wa maji kuwa ni wa gharama nafuu! Wakati tunatumia umeme wa maji, bado nchi yetu haikuwa nchi yenye umeme nafuu kama nchi nyingine za Afrika mashariki. Nilitaka iwe hivi, wote tunajua gharama za nishati. Anayetumia petroli anajua tofauti ya diseli nk. Anayetumia gas anajua tofauti ya gharama za mkaa, umeme nk. Sasa nilichotaka nijue tofauti ya hawa wanaotumia umeme wa gas, na maji wapi kuna nafuu, ama ungeweka mfano kuwa wakati wa umeme wa hydro mkaa ulikuwa juu kuliko umeme, lakini tulipoanza kutumia gas mkaa ukawa chino.

Ukinitajia hizo terminologies za umeme, sijui distribution, transmission, infrastructure nk, kwangu naona ni mbwembwe tu zisizo na maana yoyote. Nafananisha na hili debe la ndege zetu, lakini gharama ni juu kuliko fastjet jet. Usishangae hizi porojo zote lakini huo umeme wa maji ukianza bei zikawa hizihiz za juu, na ukiuliza zikianza story hizi hiI za maneno ya kiingereza sijui factor, mara tarrifs yaani ni vurugu tupu.
Mkuu imebidi nirudi nyuma kusima posti yako no 52.
Inawezekana kabisa wewe ni mtu wa imani, zaidi kuliko kudadavua mada yenyewe.
Sioni hata jinsi ya kulipa miundombinu ya umeme wa maji ndani yamiaka 10, pamoja na unafuu wake kiujumla.

Suala la teknolojia tusiligeuze kuwa la imani, kama unavyo fanya.
 
Kwanza nianze kwa kusema mimi si mpenzi mkubwa wa Rais wetu aliyepita, JPM.

Hata hivyo, pamoja na figisu nyingi za JPM katika mambo mbali mbali, mengine ambayo yalikuwa miradi ya upendeleo ulio wazi kimaeneo, katika mradi wa bwawa la umeme Stieglers alikuwa spot on.

Mradi wa ujenzi wa bwawa la kuweza kufua umeme la Nyerere Hydropower(Stieglers Gorge), ni kati ya miradi ya kimkakati yenye matokeo yanayoweza kuleta mapinduzi ya uchumi kwa miaka mingi ijayo.

Katika hili, nampongeza JPM kama ambavyo nimempongeza mara kadhaa huko nyuma.

Maneno maneno tunayosikia toka kwa Waziri wa sasa wa Nishati, Januari Makamba, yanatutia wasiwasi juu ya azma kukamilisha ujenzi wa bwawa hilo kwa wakati.

Tunajua naye JPM aliupa kisogo mradi wa uendelezaji wa uchimbaji wa gesi kwa matumizi ya uzalishaji umeme.

Lakini Waziri Makamba awe careful katika kutekeleza miradi hii ili yote yakamilike kwa manufaa ya nchi, Tanzania.

Haya maneno maneo mara oooh, maji hayajazwi kwenye bwawa leo wala kesho, mara mradi uko nyuma, …………….mara mkandarasi hawezi kazi, hayo wananchi hatupendi kuyasikia. Tunachotaka kusikia ni lini mradi unakamilika, na tupate umeme wa bei chee.

Tunajua figisu kati ya JPM na baba yake January, Yusufu Makamba, lakini ni vyema tukayaweka hayo nyuma yetu na tugange yajayo, afterall JPM sasa hayupo.

Tunataka mradi wa JNHPP (Julius Nyerere Hydropower Project) ukamilike kwa wakati.

(NB: Tunasikia kutoka kwa ka nzi, kuwa kuna wakubwa wamejipanga kuingiza figisu kwa makusudi mradi huu)
Wahujumu wa nchi hii tutawajua vyema kutokana na yatakayoendelea kupitia kwenye miradi hii. Hawa ni 'wapigaji', wanachoweka mbele ni maslahi ya upigaji wao.
Tutatumia kila njia iwezekanayo kuwafunua mbele za wananchi wawwajue ni akina nani hawa wanaoiuza nchi yetu kwa maslahi yao binafsi.

Hata wakilembalemba hizo gesi zionekane zinafaa zaidi, tutawaeleza wananchi maana yao ya kukimbilia huko mara hii na kuucha mradi mkakati zaidi ukisuasua. Januari anakimbila nyimbo za Jua na upepo ili apate pa kupigia. Tutamfunua, hana akili ya ziada kuziba akili za wengine.
 
Kwanza nianze kwa kusema mimi si mpenzi mkubwa wa Rais wetu aliyepita, JPM.

Hata hivyo, pamoja na figisu nyingi za JPM katika mambo mbali mbali, mengine ambayo yalikuwa miradi ya upendeleo ulio wazi kimaeneo, katika mradi wa bwawa la umeme Stieglers alikuwa spot on.

Mradi wa ujenzi wa bwawa la kuweza kufua umeme la Nyerere Hydropower(Stieglers Gorge), ni kati ya miradi ya kimkakati yenye matokeo yanayoweza kuleta mapinduzi ya uchumi kwa miaka mingi ijayo.

Katika hili, nampongeza JPM kama ambavyo nimempongeza mara kadhaa huko nyuma.

Maneno maneno tunayosikia toka kwa Waziri wa sasa wa Nishati, Januari Makamba, yanatutia wasiwasi juu ya azma kukamilisha ujenzi wa bwawa hilo kwa wakati.

Tunajua naye JPM aliupa kisogo mradi wa uendelezaji wa uchimbaji wa gesi kwa matumizi ya uzalishaji umeme.

Lakini Waziri Makamba awe careful katika kutekeleza miradi hii ili yote yakamilike kwa manufaa ya nchi, Tanzania.

Haya maneno maneo mara oooh, maji hayajazwi kwenye bwawa leo wala kesho, mara mradi uko nyuma, …………….mara mkandarasi hawezi kazi, hayo wananchi hatupendi kuyasikia. Tunachotaka kusikia ni lini mradi unakamilika, na tupate umeme wa bei chee.

Tunajua figisu kati ya JPM na baba yake January, Yusufu Makamba, lakini ni vyema tukayaweka hayo nyuma yetu na tugange yajayo, afterall JPM sasa hayupo.

Tunataka mradi wa JNHPP (Julius Nyerere Hydropower Project) ukamilike kwa wakati.

(NB: Tunasikia kutoka kwa ka nzi, kuwa kuna wakubwa wamejipanga kuingiza figisu kwa makusudi mradi huu)
Mtalijaza kwa mate? Ukame ndio huo na hauishi kesho.

Amandla...
 
Gas ni yetu boss. Huenda hauko hapa nchini. Ni hivi kuna bomba la gas toka mtwara hadi hapo kinyerezi na uzalishaji wa mg 450 mpaka sasa unaendelea. Jikite hapo badala ya hizo post zako za kiingereza hapo juu bro.
Mkuu,
Mimi ni nipo hapa Tanzania ni mkulima na mfugaji.

Bei za umeme unaozalishwa kwa maji zinakuwa hazibadiliki kama bei ya umeme unaozalishwa kwa gesi au petrol.

Angalia kwa wenzetu wanaotegemea umeme wa gesi wanavyoteseka na bei
Prices of natural gas are skyrocketing: at the Dutch Title Transfer Facility, Europe's leading benchmark, prices have risen from €16 megawatt per hour in early January to €88 by late October, a hike of more than 450% in less than one year. This, in turn, has sent electricity prices skyrocketing.
More: Why Europe's energy prices are soaring and could get much worse

Wenzetu wnaotegemea umeme wa gesi bei zimeongezeka si chini ya mara 4 kwa mwaka huu peke yake!
Ndio, gesi inazalishwa uko Mtwara lakini na makampuni ya nje. Mikataba yetu na wao inasemaje gesi ikipanda kwenye soko la dunia? Mfano sasa bei za gasi na demand zipo juu Europe. Hao bado wataendelea ku supply kwa bei ile ile na supply bila kupungua?
 
Back
Top Bottom