johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Yapendeza sana kukaa pamoja tena kwa Umoja
Siasa siyo uadui bali tofauti ya mitazamo kiitikadi tu.
Nilibarikiwa na Sikukuu ya Sugu pale Serena jana
Yule RC aliyebomoa Desderia hotel juzi alikuwa kwa Mtume Mwamposya akiombewa pale Mlandege Iringa
Siasa siyo uadui bali tofauti ya mitazamo kiitikadi tu.
Nilibarikiwa na Sikukuu ya Sugu pale Serena jana
Yule RC aliyebomoa Desderia hotel juzi alikuwa kwa Mtume Mwamposya akiombewa pale Mlandege Iringa