Awamu ijayo TFF kwa maslahi ya nchi aongoze Hersi

Somi

JF-Expert Member
Feb 7, 2009
3,609
4,361
Tanzania imekuwa ikifuzu kwa kuunga unga Kwenye afcon 2019 kule misri na sasa afcon ya Ivory Coast .
Ukiangalia matokeo ya mechi za kufuzu na ukalinganisha na matokeo ya tarehe 17 Jan dhidi ya Morocco kule afcon , morroco kwa mkapa Kwenye WC qualification na Jana dhidi ya Zambia unabaki kusema vijana walijitahidi kwa kadri ya uwezo wao.

Ukiangalia Kwenye karatasi wacheza ndombolo DRC wametuzidi kwa mchezaji mmoja mmoja ingawa jibu ni dakika 90+ za mechi.

Mechi ijayo ikiisha kwa Sare au Hata kufungwa 1 au 2 bado tutasema vijana wamejitahidi.

Uwezo wa Tanzania bado ni Mdogo miongoni mwa mataifa ya viwango vya juu Afrika.

Ni nini tunakosa wenzetu Senegal , Morocco, Equatorial Guinea , Cape Verde, Angola , Mali , Morocco wanacho?

Wenzetu wamewekeza wachezaji wengi sana kucheza ulaya kwenje ligi kubwa na vilevile wana shule za kufundisha soka watoto na vijana wadogo.

Shule ya soka maanake mtoto Mdogo anafundishwa namna ya kupiga mashuti ya kulenga goli na namna ya kufunga magoli ,mbinu mbalimbali za soka nk.

Kilichokosekana ni uongozi wenye Nia ya kweli , mikakati , malengo na Mipango madhubuti ya kukuza soka la Tanzania.

Mtu wa kutuvusha Kwenye mafanikio ni Injinia Hersi.

Tuache uyanga na usimba katika kupinga mazuri na uwezo wa mtu maana Hata jana mgunda kocha msaidizi alikuwa uwanjani kusaidia timu na watu wote tulisapoti
 
Tanzania imekuwa ikifuzu kwa kuunga unga Kwenye afcon 2019 kule misri na sasa afcon ya Ivory Coast .
Ukiangalia matokeo ya mechi za kufuzu na ukalinganisha na matokeo ya tarehe 17 Jan dhidi ya Morocco kule afcon , morroco kwa mkapa Kwenye WC qualification na Jana dhidi ya Zambia unabaki kusema vijana walijitahidi kwa kadri ya uwezo wao.

Ukiangalia Kwenye karatasi wacheza ndombolo DRC wametuzidi kwa mchezaji mmoja mmoja ingawa jibu ni dakika 90+ za mechi.

Mechi ijayo ikiisha kwa Sare au Hata kufungwa 1 au 2 bado tutasema vijana wamejitahidi.

Uwezo wa Tanzania bado ni Mdogo miongoni mwa mataifa ya viwango vya juu Afrika.

Ni nini tunakosa wenzetu Senegal , Morocco, Equatorial Guinea , Cape Verde, Angola , Mali , Morocco wanacho?

Wenzetu wamewekeza wachezaji wengi sana kucheza ulaya kwenje ligi kubwa na vilevile wana shule za kufundisha soka watoto na vijana wadogo.

Shule ya soka maanake mtoto Mdogo anafundishwa namna ya kupiga mashuti ya kulenga goli na namna ya kufunga magoli ,mbinu mbalimbali za soka nk.

Kilichokosekana ni uongozi wenye Nia ya kweli , mikakati , malengo na Mipango madhubuti ya kukuza soka la Tanzania.

Mtu wa kutuvusha Kwenye mafanikio ni Injinia Hersi.

Tuache uyanga na usimba katika kupinga mazuri na uwezo wa mtu maana Hata jana mgunda kocha msaidizi alikuwa uwanjani kusaidia timu na watu wote tulisapoti
Kumuweka Eng Hersi kwenye uongozi wa juu wa soka siyo tatizo ila ulipaswa kueleza hapa kwanini awekwe yeye na si mtu mwingine.
Kwanini isiwe Sunday Kayuni, Salum Madadi au hata Madam Barbara, hiyo hasa kutokana na uzoefu walionao kwa soka la Tanzania na Afrika.
Eng Hersi ana maarifa au uzoefu gani kwenye mpira wa ndani au nje ya Tanzania?
 
Hersi ni bonge la kiongozi acha abaki huku Yanga afanye biashara....ila kwa TFF apana labda kama hukumuelewa CDF jana
 
Tanzania imekuwa ikifuzu kwa kuunga unga Kwenye afcon 2019 kule misri na sasa afcon ya Ivory Coast .
Ukiangalia matokeo ya mechi za kufuzu na ukalinganisha na matokeo ya tarehe 17 Jan dhidi ya Morocco kule afcon , morroco kwa mkapa Kwenye WC qualification na Jana dhidi ya Zambia unabaki kusema vijana walijitahidi kwa kadri ya uwezo wao.

Ukiangalia Kwenye karatasi wacheza ndombolo DRC wametuzidi kwa mchezaji mmoja mmoja ingawa jibu ni dakika 90+ za mechi.

Mechi ijayo ikiisha kwa Sare au Hata kufungwa 1 au 2 bado tutasema vijana wamejitahidi.

Uwezo wa Tanzania bado ni Mdogo miongoni mwa mataifa ya viwango vya juu Afrika.

Ni nini tunakosa wenzetu Senegal , Morocco, Equatorial Guinea , Cape Verde, Angola , Mali , Morocco wanacho?

Wenzetu wamewekeza wachezaji wengi sana kucheza ulaya kwenje ligi kubwa na vilevile wana shule za kufundisha soka watoto na vijana wadogo.

Shule ya soka maanake mtoto Mdogo anafundishwa namna ya kupiga mashuti ya kulenga goli na namna ya kufunga magoli ,mbinu mbalimbali za soka nk.

Kilichokosekana ni uongozi wenye Nia ya kweli , mikakati , malengo na Mipango madhubuti ya kukuza soka la Tanzania.

Mtu wa kutuvusha Kwenye mafanikio ni Injinia Hersi.

Tuache uyanga na usimba katika kupinga mazuri na uwezo wa mtu maana Hata jana mgunda kocha msaidizi alikuwa uwanjani kusaidia timu na watu wote tulisapoti
Hakuna haja ya kumjaribu mtu mwingine, katiba irekebishwe ili Karia aongoze miaka 10 mingine. Karia amefanya mambo makubwa ambayo hayawahi kufanywa na kiongozi mkuu yeyote wa shirikisho la mpira nchini tangu nchi ya Tanznzania ijulikane kwa jina hilo. Hii ni kuanzia soka la wanaume, vijana, wanawake na walemavu, haijawahi tokea. Hersi hata tu timu ya wanawake katika klabu yake imemshinda, kila mwaka inaanzia nafasi ya nne kwenda huko
 
Kilichokosekana ni uongozi wenye Nia ya kweli , mikakati , malengo na Mipango madhubuti ya kukuza soka la Tanzania.
1705984615034.png
 
Tanzania imekuwa ikifuzu kwa kuunga unga Kwenye afcon 2019 kule misri na sasa afcon ya Ivory Coast .
Ukiangalia matokeo ya mechi za kufuzu na ukalinganisha na matokeo ya tarehe 17 Jan dhidi ya Morocco kule afcon , morroco kwa mkapa Kwenye WC qualification na Jana dhidi ya Zambia unabaki kusema vijana walijitahidi kwa kadri ya uwezo wao.

Ukiangalia Kwenye karatasi wacheza ndombolo DRC wametuzidi kwa mchezaji mmoja mmoja ingawa jibu ni dakika 90+ za mechi.

Mechi ijayo ikiisha kwa Sare au Hata kufungwa 1 au 2 bado tutasema vijana wamejitahidi.

Uwezo wa Tanzania bado ni Mdogo miongoni mwa mataifa ya viwango vya juu Afrika.

Ni nini tunakosa wenzetu Senegal , Morocco, Equatorial Guinea , Cape Verde, Angola , Mali , Morocco wanacho?

Wenzetu wamewekeza wachezaji wengi sana kucheza ulaya kwenje ligi kubwa na vilevile wana shule za kufundisha soka watoto na vijana wadogo.

Shule ya soka maanake mtoto Mdogo anafundishwa namna ya kupiga mashuti ya kulenga goli na namna ya kufunga magoli ,mbinu mbalimbali za soka nk.

Kilichokosekana ni uongozi wenye Nia ya kweli , mikakati , malengo na Mipango madhubuti ya kukuza soka la Tanzania.

Mtu wa kutuvusha Kwenye mafanikio ni Injinia Hersi.

Tuache uyanga na usimba katika kupinga mazuri na uwezo wa mtu maana Hata jana mgunda kocha msaidizi alikuwa uwanjani kusaidia timu na watu wote tulisapoti
Hii ni timu ya Taifa je taasisi za kiserikali zimelala?, (government machinery), Tanzania tuna changamoto ya mifumo yetu ili utoboe ni juhudi ya mtu mmoja mmoja ama kwa kelele,muda mwingi ni kisifu,kujipendekeza,na kubishana kwenye vijiwe na hoja kuntu zinaishia kwenye vijiwe
 
Kumuweka Eng Hersi kwenye uongozi wa juu wa soka siyo tatizo ila ulipaswa kueleza hapa kwanini awekwe yeye na si mtu mwingine.
Kwanini isiwe Sunday Kayuni, Salum Madadi au hata Madam Barbara, hiyo hasa kutokana na uzoefu walionao kwa soka la Tanzania na Afrika.
Eng Hersi ana maarifa au uzoefu gani kwenye mpira wa ndani au nje ya Tanzania?
Madadi , kayuni na mkwasa ni makocha wazuri ni watendaji hawawezi kuongoza , wanafaa kuelekezwa mambo ya kutekeleza .
Uongozi unatakiwa vision na kujitoa muhanga bila Tamaa na ubinafsi .
 
Hersi kiongozi mzuri sana Yees
Ila niambieni Regime ambayo imetoa matunda ya moja kwa moja zaidi ya msomali Karia
BTW TFF ni wasomali tu mnawataka mimi Mjaluo nnao uwezo pia
 
Hakuna haja ya kumjaribu mtu mwingine, katiba irekebishwe ili Karia aongoze miaka 10 mingine. Karia amefanya mambo makubwa ambayo hayawahi kufanywa na kiongozi mkuu yeyote wa shirikisho la mpira nchini tangu nchi ya Tanznzania ijulikane kwa jina hilo. Hii ni kuanzia soka la wanaume, vijana, wanawake na walemavu, haijawahi tokea. Hersi hata tu timu ya wanawake katika klabu yake imemshinda, kila mwaka inaanzia nafasi ya nne kwenda huko
Leo pamoja na timu yetu kusuasua Hata refa kutoka Tanzania angalau awakilishe hakuna nilitamani nimuone Tatu malogo Ivory Coast matokeo yake nimemuona Jana akichezesha yanga princess v Jkt queens.

Soka la wanawake U17 walioenda kombe la dunia mchezaji aliyetoa mchango mkubwa na kubeba timu alitoka programu ya Yanga princess .
 
Tanzania imekuwa ikifuzu kwa kuunga unga Kwenye afcon 2019 kule misri na sasa afcon ya Ivory Coast .
Ukiangalia matokeo ya mechi za kufuzu na ukalinganisha na matokeo ya tarehe 17 Jan dhidi ya Morocco kule afcon , morroco kwa mkapa Kwenye WC qualification na Jana dhidi ya Zambia unabaki kusema vijana walijitahidi kwa kadri ya uwezo wao.

Ukiangalia Kwenye karatasi wacheza ndombolo DRC wametuzidi kwa mchezaji mmoja mmoja ingawa jibu ni dakika 90+ za mechi.

Mechi ijayo ikiisha kwa Sare au Hata kufungwa 1 au 2 bado tutasema vijana wamejitahidi.

Uwezo wa Tanzania bado ni Mdogo miongoni mwa mataifa ya viwango vya juu Afrika.

Ni nini tunakosa wenzetu Senegal , Morocco, Equatorial Guinea , Cape Verde, Angola , Mali , Morocco wanacho?

Wenzetu wamewekeza wachezaji wengi sana kucheza ulaya kwenje ligi kubwa na vilevile wana shule za kufundisha soka watoto na vijana wadogo.

Shule ya soka maanake mtoto Mdogo anafundishwa namna ya kupiga mashuti ya kulenga goli na namna ya kufunga magoli ,mbinu mbalimbali za soka nk.

Kilichokosekana ni uongozi wenye Nia ya kweli , mikakati , malengo na Mipango madhubuti ya kukuza soka la Tanzania.

Mtu wa kutuvusha Kwenye mafanikio ni Injinia Hersi.

Tuache uyanga na usimba katika kupinga mazuri na uwezo wa mtu maana Hata jana mgunda kocha msaidizi alikuwa uwanjani kusaidia timu na watu wote tulisapoti
Kule misri nilisikitika tukipofungwa na Kenya 3-2 na wakatukejeli sana.
Kufungwa na Senegal na Algeria (2-0, 3-0) sawa wale ni wakubwa

Kuna kipindi hizi timu za ukanda wa afrika mashariki na Kati Hata kusini kina Angola , Mozambique ,Zambia wakicheza na Tanzania lazima wale kichapo.
Cameroon , Senegal , Algeria , Ghana ,Morocco, wakija lazima wajipange amasivyo wanafungwa.
 
Huyo Hersi kaingia Yanga ikiwa imetulia yani hela zipo n.k anapewa bajeti haumizi kichwa...mpeni kwanza timu ya Gwambina akifuzu huko ndo mje na proposal yenu...
 
Leo pamoja na timu yetu kusuasua Hata refa kutoka Tanzania angalau awakilishe hakuna nilitamani nimuone Tatu malogo Ivory Coast matokeo yake nimemuona Jana akichezesha yanga princess v Jkt queens.

Soka la wanawake U17 walioenda kombe la dunia mchezaji aliyetoa mchango mkubwa na kubeba timu alitoka programu ya Yanga princess .
Mafanikio ya soka yanapimwa kwa timu na wachezaji. Marefarii na makocha hatuna haja nao, maana watafight kwa ajili ya mafanikio yao binafsi. Hata Somalia isiyo na ligi ina marefarii wazuri
 
Back
Top Bottom