Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Hahahaaa...hili nalo neno. Usikute jamaa wanaogopa wakianza kukujadili utawzukia usiku. maana umekaa "kimlingotini" ile mbaya
dah?
Yaani broda na uhandsome wote huo bado nimekaa kimlingotini?
Hahahaaa...hili nalo neno. Usikute jamaa wanaogopa wakianza kukujadili utawzukia usiku. maana umekaa "kimlingotini" ile mbaya
Kwel jf is never borin! Soure:loading:
kongosho dagaa anaitwa sardines now tupa mfano.
Bishanga una makamo gan!
Lizzy kila nikijarib kukufikilia cpat picha.
Unaweza kuwa mwema ukanibadilishia hiyo avatar ili niwe na amani ya kujibu swali lako?Babu ODM,
huu utundu wa kusuka ukili ukiwa umekaa kwenye kiti umeanza lini?
Maana raha ya ukili mkekani.
Hapana hiyo avater ameiweka kwa malengo yake binafsi lakini sio picha yake halisi
Unaweza kuwa mwema ukanibadilishia hiyo avatar ili niwe na amani ya kujibu swali lako?
Kwanini unapenda kunikata stimu namna hii?
Kwa avatar hiyo? No way!Kabakabana mbishi kutoa mkono hapo
Ngoja nijaribu kumshawishi
Ila babu kumbe na wewe mtundu
Ndo maana ADi na MJ1 huwa hawakuachi mbali
Basi mie nataka niwe nakung'oa ndevu
Kwa avatar hiyo? No way!
Utundu wangu umeujuaje? Huogopi wakati unaning'oa ndevu naweza kukufanyia utundu?
Na umejuaje ADI na MJ1 huwa hawaniachi mbali, unachungulia chumba cha ODM?
Mi sina mahaba na wajukuu wa kiume....Hiyo avatar tu
Kwani wajukuu wa jinsia ya ME hatuchezi na babu??
Mfumo jike huo
Najua huwezi nifanyia utundu, sababu ya hii jinsia
Sikuchungulia makusudi
Pazia la chumbani kwako lilifunguliwa na upepo wakati napita
Avatar
avatar...
Mbona yangu haijaazishiwa thread jameni? Na huo mduku wote...
Kwel jf is never borin! Soure:loading:
kongosho dagaa anaitwa sardines now tupa mfano.
Bishanga una makamo gan!
Lizzy kila nikijarib kukufikilia cpat picha.