miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Angalia yangu hiyo
hahahhaa nilitaka nijue why aliipenda hiyo avatar upo shem?
yaah.. niko Dar!!
Kama huyu MO11 avata yake na maneno yake anayoongeaga basi yanafanana...Namuona kama ni mtu anayependa utaniii na kuchekaa tena kicheko chenyewe cha utani na kukera watu..
Hebu ione hii ya mkuu mab... (name calling, lol)
![]()
Hivi wewe hujajua mpaka leo kuwa Remote ni Mboga?
Na hapa JF Yupo kibiashara zaidi?
Wenye kujua maana ya hio Avatar yake Huwa wanam pm tu halafu wanakutana Na Kumaliza biashara.
Mtoto wa Kiume Lainiiiiii.
msalimie shansarie kesho natia timu hapo
Nampenda sana huyo mama kwenye avatar yangu.... Kama kuna siku nitafika huko Bondeni hakika nitamtafuta nimwambie kuwa nampenda tu