Autocom Japan Inc- Niulize chochote kuhusu used car from Japan

Msuya Jr.

JF-Expert Member
May 31, 2013
1,691
899
1547741720151.png



Hello members ,
Jina langu Renyo Msuya,
Nafanya kazi na makampuni ya kuuza magari kutoka japan kuja Tanzania.
Niulize swali lolote kuhusu magari na bei zake , pia tuna import magari kwa bei nafuu kabisa.
Nitakuwa najibu maswali na updates za magari .
 
Mkuu toyota glanza naweza kupata kwa sh ngapi hadi inafika mkononi mwangu
 
Hello members ,
Jina langu Renyo Msuya,
Nafanya kazi katika kampuni ya kuuza magari kutoka japan kuja Tanzania.
Niulize swali lolote kuhusu magari na bei zake , pia tuna import magari kwa bei rahisi kabisa.
Autocom Japan Inc, Tanzania Branch.
Office location: Quality Center/Mtava -Along Nyerere Rd.
Contact/Whatsapp: +255 767 328 063
Email: msuya@autocj.co.jp
Japanese Used Cars Stock List | Autocom Japan

View attachment 472636
kwema mkuu niambie bei ya alteza 4cylinder na allion ile ya mwaka 2004
 
Hello members ,
Jina langu Renyo Msuya,
Nafanya kazi katika kampuni ya kuuza magari kutoka japan kuja Tanzania.
Niulize swali lolote kuhusu magari na bei zake , pia tuna import magari kwa bei rahisi kabisa.
Autocom Japan Inc, Tanzania Branch.
Office location: Quality Center/Mtava -Along Nyerere Rd.
Contact/Whatsapp: +255 767 328 063
Email: msuya@autocj.co.jp
Japanese Used Cars Stock List | Autocom Japan

View attachment 472636
Passo ya bei rahisi kabisa ni mil. ngapi mkuu?
 

Attachments

  • 318658-01.jpg
    318658-01.jpg
    28.9 KB · Views: 554
  • 318658-02.jpg
    318658-02.jpg
    32.6 KB · Views: 513
  • 318658-03.jpg
    318658-03.jpg
    29 KB · Views: 516
  • 318658-04.jpg
    318658-04.jpg
    22.1 KB · Views: 497
Mkuu vp mnazo kwenye stock Nissan Civilian au Mitsubishi Magnon?
Na bei ipoje per each?
sorry hizi hatuna katika stock kwa sasa,
also angalia stock zingine boss Japanese Used Cars Stock List | Autocom Japan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom