Aunty Lulu alia kugeuzwa daraja na midume

Status
Not open for further replies.
Hii takataka lulu imeanza kuliwa tigo enzi za buzz kama siyo mobitel!!beki hazikabi kitambo huyu kicheche
 
Wee nani kakuambia wanaogawa 'tigo' hawazai? Umeshaona sehemu walipotaja sababu za ugumba ipo 'kuliwa tigo'? Na nani kakuambia wa kuwa wanandoa hawalani tigo?! mxxxxxxxxxxxi@*u***?@xu! mwenyewe...na wa kwenu wote!

grit thinking!take 5
 
Tatizo la huyo dada amelitaka mwenyewe alianza kuuaza utu wake pale kwa Macheni Magomeni enzi zileee, sasa kila mtu akimuona anamchukulia kama YaLaMa tu.
 
View attachment 66862

Daah...wanaume tunakuwaga wabaya sometimes. Nimejaribu kutafiti (not formal research) nikaona wanawake waliojaaliwa 'makalio' mara nyingi huwa wanatendwa, yaani wanaume huwa wanawatumia for sex kisha wanasepa. Na ukiangalia kisaikolojia...wanaume wengi wanapomuangalia mwanamke aliyejaaliwa makalio, moja-kwa-moja wazo ni kumvua nguo tu na kumfaidi, hakuna ile feeling ya 'love' kama vile wanaume wengi wakimuona msichana mrembo mwembamba!

Huyu ni victim wa hiyo 'psychological phenomenal'...lakini dada wa watu anaweza kuwa na nia nzuri tu ya kuwa na mwenzi mmoja wakapendana akatulia.

dr, wewe binafsi unaweza kuoa mwanamke mwenye mvuto lakini kucha picha ambazo ulikuwa ufaidi mwenyewe chumbani unazikuta mtandaoni?
Saa zingine tunatafuta mchawi wakati tunajiloga wenyewe.
 
Aunty Lulu umapepe na ile Tabia ya kuwa karibu mno na Mashoga wa kiume hadi kuishi nao nyumbani kwake pia inachangia watu kula mzigo na kisha kusepa.
 
Wee nani kakuambia wanaogawa 'tigo' hawazai? Umeshaona sehemu walipotaja sababu za ugumba ipo 'kuliwa tigo'? Na nani kakuambia wa kuwa wanandoa hawalani tigo?! mxxxxxxxxxxxi@*u***?@xu! mwenyewe...na wa kwenu wote!


Doktaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mbona umekuwa mkali? Vipi ena unatoa rules of the game ya ndoa mkuu? Mwache asitumie ile kitu 'bomba' 0713 !!! Siku anakuja kukuta mkewe kakunjwa kama nyau na mkata manyasi ndiyo atajua kwani wanawake wanaridhikaga mkuu? Ukimpa mark 2 atatka Discovery 3 ukimpa nyumba atataka helikopta, ukimpa mifugo atataka ndugu zake wajae, hawaeleweki kabisa bora uamue moja tu. Ndoa zina mambo!!!
 
dr, wewe binafsi unaweza kuoa mwanamke mwenye mvuto lakini kucha picha ambazo ulikuwa ufaidi mwenyewe chumbani unazikuta mtandaoni?
Saa zingine tunatafuta mchawi wakati tunajiloga wenyewe.

kweli,mchawi ni yeye mwenyewe
 
Kwa hapa sina neno zaidi ajipange aanze maisha mapya

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Aunty Lulu umapepe na ile Tabia ya kuwa karibu mno na Mashoga wa kiume hadi kuishi nao nyumbani kwake pia inachangia watu kula mzigo na kisha kusepa.

eeh,karibu nao hao kivipi tena>
 
ishu hapa cyo wanaume kumtumia na kumwacha, but ishu ni yeye kuwaruhusu wamtumie then wakitosheka wasepe.kwani huwa wanambaka ?? au ni makubaliano?? akisema no, nahitaji mwanaume serious nitakaye jenga naye future then akasimamia decision yake watamlazimisha?? au huwa wanamfunga kamba?? asiwasingizie wanaume, ajilaumu yeye mwenyewe kuwa maharage ya mbeya.hiyo yote inaletwa na tamaa , kutojiamini,kutojipenda, kutojithamini n.k usitegemee mtu akupende au aione thamani yako kama mwenyewe hujipendi wala hujithamini

Darasa tosha, point mwanzo mwisho. Tatizo bongo lala na ukosefu wa malengo. Haya bomoka tu mama, utakuja kujuta na matarumbeta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom