Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,222
- 18,381
Yaani hapa ndiyo umejidharaulisha kabisaaa!! Unaikumbuka. TRL ya wahindi?walikuja na mtaji wa tsh 50,000 tu!nyingine walikopea hapahapaMkuu gana point tule kuna siku bungeni aliropoka eti wawekezaji wa vitalu vya gas hawaji na pesa bali wanakuja na labtop na wanakaa hotelini na kuomba kuwekeza kisha pesa wanakopa ktk mabank yetu nilimdhalau sana
Mkuu gana point tule kuna siku bungeni aliropoka eti wawekezaji wa vitalu vya gas hawaji na pesa bali wanakuja na labtop na wanakaa hotelini na kuomba kuwekeza kisha pesa wanakopa ktk mabank yetu nilimdhalau sana
Ndo maana wachangiaji wa JF Great Thinkers wameanza kupungua sana,yani hii habari ya UDAKU nayo ina hadhi ya kukaa hapa,sasa huyo Aunt Ezekiel mvaa nusu uchi,mwigizaji wa Bongo movie nae ana upeo wakujibizana na mtu mwenye akili timamu,kwanza alienda kutangaza utalii upi,ukimwuliza hata vivutio vya utalii Tanzania anavijua..? Shame on her...tena azibe kimdomo chake kabisa huyo binti.
Wewe mleta mada nawe ni kada wa chama fulani kutokana na uchangiaji wako unajulikana huko,ndo maana umeibua ka hoja dhaifu kabisa na kuona ndo kanafaa kuleta hapa.Sasa inamana siku hiyo katika yote aliyoongea Mh Lema hilo ndo uliona la msingi na kumpelekea huyo Aunt wenu...???
Walienda wote USA au Facebook ndio waongo??Hiyo ni hoja ya kyongelewa bungeni??
Si udaku wa facebook?
Atafute hoja siyo mambo ya kitoto kama hayo.
utalii haukuishia hapo,tutaleta na picha za chumbani kunakosambaratisha ndoa ya waziri...
....Ndo maana wakora wametupiga bani !!!
Mkuu hivi Lema alisha wahi kutoa point yoyote bungeni?
Wewe Elimu yako inakutosha kuandika utumbo kama huuHajawahi mkuu, wala hatawahi, elimu yake haitoshi kufanya hivyo!
Huu ujumbe kampe kwanza Livingston LusindeLema ajifunze sasa.
Maneno ya vijiweni asiyapeleke bungeni.
Ukweli upi unaojua wewe juu ya Aunt Ezekiel na Nyalandu ambao Lema haujui??Kwahiyo asiambiwe ukweli? Elimu ya bure acha ajifunze....
Afadhali wangebeba kikundi cha wasanii wa kimasai angalao ingeleta maana