Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,931
- 41,286
Anaonyesha tunu aliyojaliwa
Kama nakuona mzee umepakata kitoto kimeukalia huku gari likiyumba...Juzi niko zangu kwenye daladala akaingia Mama mmoja na mtoto wake wa kike miaka km 6 hivi au 7 huyo mtoto kavalishwa kisuruali chepesiii...hlf kimembana hatareee...balaaa lilikuja mtoto ana msambwanda utadhani mtu mzima yule mama akamwambia yule mtoto kaa na Kaka yako hapo yaani akae na mimi
Sidhani kama mavazi ni njia nzuri ya kum define mtu, japo nakiri pia ni factor muhimu kwa jamii yetu. Kuna watu wanavaa madera/ sijui majuba huku ndani wakiwa hwana hata pichu. Kuna watu wanavaa juba wakati wanaenda kufanya maasi makubwa, mf ujambazi, kuchepuka au kuiba waume za watu. Nadhani ifikie wakati tukubali kuwa ubora wa mtu hauendani na mavazi, bali ni tabia za mtu mwenyewe na matendo yake.Wewe ni sampuli ya kina faiza, na huyu dada .
Na baadhi ya wasanii wabongo ambao wanavaa nguo ambazo haziendani na maadili ya mazuri ya binadamu Kwa mujibu wa mafundisho ya vitabu vya dini pamoja na Sheria mbalimbali za nchi.
Jamani binadamu tuwe hata na aibu ya kujisitiri, tusipoangalia tutarudi Zama za ujima, kuishi kama watu wa porini
Juzi niko zangu kwenye daladala akaingia Mama mmoja na mtoto wake wa kike miaka km 6 hivi au 7 huyo mtoto kavalishwa kisuruali chepesiii...hlf kimembana hatareee...balaaa lilikuja mtoto ana msambwanda utadhani mtu mzima yule mama akamwambia yule mtoto kaa na Kaka yako hapo yaani akae na mimi
Anatokea wapi, ukijua hilo hutashangaaView attachment 763693
Aunt Ezekiel akiwa na mwanae
Je! Mama kuvaa hivi mbele ya mtoto wake ni Ujinga, Fashion, Ustaa, Uzungu, Swagga au Uboya?
Aisee wanawake wa kibongo acheni ujinga sio kila kitu ni chakuiga wazungu haya sio maadili mazuri mbele ya watoto wenu.
Mwili wake, nguo zake, picha zake, maamuzi yake. wewe kinachokuuma nini?View attachment 763693
Aunt Ezekiel akiwa na mwanae
Je! Mama kuvaa hivi mbele ya mtoto wake ni Ujinga, Fashion, Ustaa, Uzungu, Swagga au Uboya?
Aisee wanawake wa kibongo acheni ujinga sio kila kitu ni chakuiga wazungu haya sio maadili mazuri mbele ya watoto wenu.
Mkuu Beautiful Nkosazana fahamu kwamba wazazi wako wa kwanza walikaa uchi wa mnyama bustanini. Kukaa "uchi" siyo kigezo sana, jambo la muhimu ni kumtii MUNGU na kuzishika Amri zake. Na katika Amri za MUNGU hakuna hata moja inasema; "na usikae uchi, au usitembee bila nguo".
Tatizo letu wanadamu tunaacha mambo ya msingi na kuhangaika na mambo yasiyokuwa na maana. YESU alitufananisha na vipofu pale aliposema; "mnachuja Mbu na kumeza Ngamia".