Hata kama hauziki CCM itashinda tu kwa sababu inamiliki dola pamoja na tume ya uchaguzi.
Hivi mnadhani kwa mfano hao wakulu wa tume ya uchaguzi ni UKAWA?
Hao wote ni CCM kama alivyokuwa yule sijui ndo Makame....
Nyani Ngabu....
Don't even worry huyu haendi kokote, kaletwa kama kondoo fulani hivi...!!! hafai hata kidogo, beyond bogus huyu...!!!
Na CCM inajua, wananchi wamebadilika sana sasa hivi... wakimuacha Lowassa CCM inakufa mchana, na UKAWA wanachukua nchi haraka sana...!!! na Lowassa yuko radhi kwenda Upinzani, hilo liko wazi, bila shaka umesikia maneno yake mara kadhaa akitafuta wadhamini...akim quote Mwl. Nyerere kuwa WANANCHI wakikosa mabadiliko ndani ya CCM watayapata nje ya CCM..na yeye ndie ataleta mabadiliko hayo either ndani au nje ya CCM na si mwingine kwa Sasa... hakuficha kitu...Lowassa yuko very straight...!!! na HE WALKS THE TALK...!!! He is the Man of Action... hana mchezo, sio mswahili, mswahili...!!! Ni chaguo bora sana kwa sasa...kila tafiti, kura ya maoni, makundi yote ya wananchi wanampenda mnooo, umeona hata wadhamini wengi sanaaaa... ana karma ya kupendwa...
Kuhusu ufisadi ni propaganda tu...ukienda PCCB, DPP, MAHAKAMANI, POLICE, kamati ya maadili ya CCM and tume ya maadili ya viongozi wa umma...kote huko hajawahi hata kushutumiwa tu achia mbali kushitakiwa...hakuna jina lake... so ni propaganda za kisiasa without evidences.... so hazina ukweli, hata yeye Lowassa kasema mwenye ushahidi hata mmoja tu ktk maisha yake aliwahi kuiba alete...hakuna aliyeleta...!! Sbb anajua ni uongo na uzushi wa wabaya wake...!!!
Kuhusu huyu Jaji Mkuu mstaafu hafai, kabebwa, hajulikani na wananchi wapiga kura... pili alivyokuwa Jaji Mkuu, Rushwa ilikuwa balaaa ktk mahakama za Tz...hafai kabisa huyu...!!! hoi bin taaban...!!!"
Lowassa ndie CHAGUO SAHIHI kwa sasa... na wana CCM wengi, wana imani na CCM kwa sasa sbb ya Lowassa tu...!!!