Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
This mada iz too past oriented, ila mrema anajua afanyacho. Juz kati nilienda bush. Kule kampeni zimechemka si kitoto, na mwakani anachukua ubunge. Bara2 kaipiga greda kitu ambacho mh. Kimaro hakuwahi kufikiria
Huu ndio uongozi mnaouenzi? Kupewa badala ya kuonyeshwa na kuongozwa ili mjitegemee! Kweli wananchi wote hapo mnashindwa kweli kupiga greda barabara mpaka mfadhili awafanyie? Mnataka kiongozi au mfadhili?
Kwa mtaji huu, ufisadi kweli utaisha nchini?
Amandla.......