kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Nalipenda sana hilo tangazo, kila nikilisikia huwa nacheka kama vile sijawahi kulisikia.
Yaani dogo ana buku tu anaulizia vitu kibao dukani kwa Mangi halafu anamuuliza muuzaji kama anaandika orodha ya vitu! Feni panga boy, body spray na malapa.
Anapotajiwa jumla kuwa ni sh. 65500/= dogo anadai analialia eti ana buku, Mangi anamuambia dogo Ndorobo si afadhali achukue hiyo buku anunue gazeti ajipepee!
Tafadhali kwa mwenye hiyo clip aniwekee hapa nadhani wengi pia wanaipenda!
========
MANGI NDOROBO mp3
Yaani dogo ana buku tu anaulizia vitu kibao dukani kwa Mangi halafu anamuuliza muuzaji kama anaandika orodha ya vitu! Feni panga boy, body spray na malapa.
Anapotajiwa jumla kuwa ni sh. 65500/= dogo anadai analialia eti ana buku, Mangi anamuambia dogo Ndorobo si afadhali achukue hiyo buku anunue gazeti ajipepee!
Tafadhali kwa mwenye hiyo clip aniwekee hapa nadhani wengi pia wanaipenda!
========
MANGI NDOROBO mp3