Audio ya tangazo la Ndorobo na Mangi

Audio ya tangazo la Ndorobo na Mangi

kyalankota

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2014
Posts
2,594
Reaction score
1,463
Nalipenda sana hilo tangazo, kila nikilisikia huwa nacheka kama vile sijawahi kulisikia.
Yaani dogo ana buku tu anaulizia vitu kibao dukani kwa Mangi halafu anamuuliza muuzaji kama anaandika orodha ya vitu! Feni panga boy, body spray na malapa.

Anapotajiwa jumla kuwa ni sh. 65500/= dogo anadai analialia eti ana buku, Mangi anamuambia dogo Ndorobo si afadhali achukue hiyo buku anunue gazeti ajipepee!

Tafadhali kwa mwenye hiyo clip aniwekee hapa nadhani wengi pia wanaipenda!
========

MANGI NDOROBO mp3
 
B/sprey 15000/=,pangaboi 50000/= na malapa 1000/= jumla 65500/= hesabu za mangi na bado anapata faida hiyo mali yaomyesha ni yakupiga ndio maana dogo kwa vile anamjulia mangi akaona hata akilipa buku bado kuna faida
 
Mi ananiacha HOI anapouliza PANGA...?, then MANGI anamjibu MMMH,

Vitu vyoooote kauliza kwa sauti ya juu kabisa alipokuja kutaja hela aliyokuwa nayo asee ikawa kama anaumwa vile, heh heh.

NZURIIIII!!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom