Audio: BBC wafanya Interview na Diamond kwa kiingereza

Audio: BBC wafanya Interview na Diamond kwa kiingereza

Hii inaashiria Domo yuko na juhudi sana kwa kile anafanya
Huwezi amini Domo wa mbagala ilikua ni shida hata kusema very good
Nilimaikiliza vizuri alipoingia Big brother kuwafundisha kuimba washiriki yaani ilikua safi sana
Alikua anaongea kwa uhuru na utani juu
 
Wana Jukwaa,

Kwa kweli mimi niliwahi kuwa wale wanaoitwa haters wa huyu kijana wetu. Sikuwa na sababu yeyote zaidi ya precedence's set by al lot of our Bongo flavor musicians. Ngwea, Afande Sele, Dudu baya hust to name few ambao waliingia kwenye muziki wakatoka, wakalewa na mafanikio. Kwa mfano TID, yaani amekuwa kama chokoraa kwa unga!! So hawa wanamuziki wa zamani walilewa wakaacha kuwa wabunifu, wakahamia kwenye short cuts; kitokeo cha hapo wakafa sasa hivi wamechoka wako hoi hoi bin taaban. So hatred to Diamond haijawahi kuwa na sababu ni yale walofanya wengine basi unaishia kusema ndo wale wale.

Nilianza kumjua Diamond nilipoiona video ya....... aaah!! Yaani sikumbuki jina la wimbo.!!! Niaaanza kufuatilia tungo na nyimbo zake. Mwaka 2013 nikaona video ya "ngololo" sijui kama ndo unavyoitwa nika admire kazi yake, toka hapo nikamfuatilia Diamond. I am very imprest with the way anavyopanda viwango siku hadi siku!! Kuna wakati nilimsikia anahojiwa nje nikaja hapa niaksema Diamond anahitaji meneja wa kumuongoza ili ajifunze mengi zaidi, nadhani alichukulia challenges in a positive manner na sasa nasema Diamond anapaa kwa viwango. Amejifunza mengi, na cha muhimu zaidi yeye kama celebrity naona amejifunza hata jinsi ya kuongea na press!! Nasema hongera Diamond unapeperusha bendera ya TZ kwa viwango vya juu!!

Leo nimemsikiliza mahojiano ya BBC radio, msikilize "http://bbc.in/1ei00a2"

Kijana napaa, nsema endelea hivyo hivyo hakuna kurudi nyuma Kudos dogo...
 
ni mjanja sana. aliona kiingereza cha mama africa kibovu, akahamia kwa zari, nafikiri ndani ya nyumba wanaongea kiingereza kila siku hivyo ame improve sana, amejitahidi kawapiga bao wengi sana sana.

Hizi projects zinasaidia sana kwa kweli! Yaani mpaka siamini kiasi naona kama hii clip imekuwa edited.
 
Uko vzur mnoo, nahapaa ndio nakubali kabisa ulee usemiii Wa Nabii hakubalikik Nyumbanii
 
Ali kiba alifanya interview na bikira wa kisukuma efm the same day
 
Waaw! What a great artist of my great country Tanzania.... Hakika sio amejitahidi, Amepiga ung'eng'e haswaaaa...
 
Back
Top Bottom