Amejitahidi kwa kiasi chake. Mkuu nifah wahi huku kuna watu watakuja watamsifu Chibu. Wahi uje kuchafua hali ya hewa.
Nielewe vzuri
Sipondi juhud za Diamond na mafanikio yake, ila nachoona hakipo sawa ni watu kushikilia suala la english ya Diamond kama success story
Am sure hata yeye hatapenda kuona et anasifiwa kwa kuongea koongereza vizur, yaan level hiz ni za kusifiana english, tena kwa coment zaid ya 40?? ndo unyuma wenyewe huu.
Ni sawa na kumsifia mwanafunz wa Chuo kikuu kwamba anajua kusoma na kuandika, Diamond tayar ni mwanamziki wa Kimataifa so kujaza server za Jf et tunasifia alivyoongea kingereza as if kuongea kiingereza kunahitaj technolojia ya ajabu ni kumshushia hadhi
Tumchukie Wema lkn Penye pongezi zake tumpe. Nilimsikia Chibu akihojiwa na XXL, kuhusu yai", nafikiri ni baada ya kutoka bigbrother ... alijibu ni "Wema Sepetu English Course. Na nafikiri kwa wakati huo hawakuwa pamoja na wema, ikawa kama ni news flani vile. Mpaka clousd wakaanza kumsifia Wema kwa kuwatrain Kanumba, then Diamond
Safi kijana iko siku wasiokuelewa watakuelewa tu
Alafu, rasi simba ndo kafanya kazi hiyo
Nielewe vzuri
Sipondi juhud za Diamond na mafanikio yake, ila nachoona hakipo sawa ni watu kushikilia suala la english ya Diamond kama success story
Am sure hata yeye hatapenda kuona et anasifiwa kwa kuongea koongereza vizur, yaan level hiz ni za kusifiana english, tena kwa coment zaid ya 40?? ndo unyuma wenyewe huu.
Ni sawa na kumsifia mwanafunz wa Chuo kikuu kwamba anajua kusoma na kuandika, Diamond tayar ni mwanamziki wa Kimataifa so kujaza server za Jf et tunasifia alivyoongea kingereza as if kuongea kiingereza kunahitaj technolojia ya ajabu ni kumshushia hadhi
Kijana anakua kila sehemu, ki-elimu, kiuchumi, ki-mziki, inabidi tukubaliane Diamondi ana Degree ya Muziki grade GPA 4.0
Alafu, rasi simba ndo kafanya kazi hiyo
Kijana anakua kila sehemu, ki-elimu, kiuchumi, ki-mziki, inabidi tukubaliane Diamondi ana Degree ya Muziki grade GPA 4.0
Nic kijana team kiba senge