OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
Revealed
Revealed
Sasa hivi usaliti umehamia kwa NassariI meant ZZK, that's how we call him down here in Mwandiga
Sasa hivi mnamvumilia Joshua Nassari.....akiondoka huyo atafuata mwingine....kisha mwingineMkuu Remote, watu wanachanganya madawa tu. Nitaendelea kuwapiga wasaliti wote hadi dakika ya mwisho. Jitu kama Zitto linastahili kuwa CCM. Chadema tulimvumilia sana
Endelea kuhesabu.Sasa hivi mnamvumilia Joshua Nassari.....akiondoka huyo atafuata mwingine....kisha mwingine
Huyo ni msukuma mwenzako, kwa nn unamchukia?, mbona ww uko tofauti na wenzako......
Hata sisi tunakushangaa nyani ngabu
Unajua huyu jamaa anayeitwa Askofu au sijui mchungaji Gwajima nilikuwa sijawahi kumfuatilia kwa ukaribu hivyo sikuwa najua mengi juu yake.
Lakini tokea haya mambo ya ile taja taja ya wahusika wa madawa ya kulevya ndo kidogo kidogo nikaanza kumfuatilia.
Eti naye anajiita ni dokta. Yaani ana shahada ya uzamifu. Shahada yenyewe kaipatia kutoka chuo kiitwacho Omega Global University.
Vichekesho! Omega Global University ni diploma mill! Chuo hakina hata accreditation ya maana.
Tuachane na hayo ya 'PhD' yake. Tuje kwenye mwenendo na mdomo wake.
Baada ya kuiangalia hii video sasa naelewa ni kwa nini alidai anavyo vyetu vya Paul Makonda ofisini kwake [which was dumb].
Hebu sikiliza hayo maneno aliyoyaongea kuhusu Kadinali Pengo. Eti huyo ndo askofu. Askofu mwenye wafuasi tele.
Huyu mtu hana credibility yoyote ile. Ni msanii tu. Alifaa awe kwenye tasnia ya akina Omari Tego na akina Mwinyi Mkuu. Huko kwenye utumishi wa mungu anafanya utapeli tu.
Awali nilikuwa sielewi kwa nini anafanya hivo anavofanya ila sasa nishaelewa.
Ila hao wafuasi wake nao hmm....kaazi kweli kweli yaani!
Tafuta REHABITATION service kabla hajatoka ofisin
SAFI SANA!! WE NDO UMEMSOMA HUYU KIUMBE!Inaonekana BASHI.. ni dawa kali ya kulenya
Hata watu wenye akili zao kama wewe inakulevya
Tafuta REHABITATION service kabla hajatoka ofisin
Maana ni lazima MVUA inyeshe MWAKA HUU!