Ndugu wanasheria naomba msaada juu ya umuhimu & applicability ya Audi_alteram_partem(listen to the other side) kama principle mojawapo ya natural justice ,,,
Nawasilisha
Ni haki ya kusikilizwa kama ile MWAKYEMBE na kamati yake ya RICHMOND walivyomnyima Lowassa kujieleza kwenye kamati wakati ofisi ya Waziri Mkuu unatembea kwa miguu lakini wakaitoa haki ile kw akusafiri na ndege hadi Marekani kuwasikiliza RICHMOND kama wapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.