LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,289
- 27,743
PR wa Chama wapo vizuri sana. Hiyo comment ya Aucho kuhusu Chama ni mchongo maalumu kwa ajili ya kuwapush viongozi wa Simba mfanye maamuzi kwa shinikizo mumpe Chama mkataba wa miaka mitatu na milioni 500 wakati hana thamani hiyo..
Mimi niko nimekaa palee
Mimi niko nimekaa palee