Ukweli mchungu na sababu za kusimamishwa kwa Chama jr

Abby Uladu

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
2,031
4,236
Habari za jioni wakereketwa wa kabumbu.

Ebwana kutoka kwenye chanzo cha ndani kabisa na kwa mtu Makini na kiongozi wa Simba ambaye ni miaka 4 sasa anafanya kazi Simba amenipa dondoo nne za kusimamishwa kwa mwamba wa Lusaka.
1- Chama aliuomba uongozi kuvunja mkataba wake mwenyewe ili abadilishe mazingira (akadhani uongozi utamgomea) lakini uongozi wa simba ulikuwa tayari umesharidhia na ombi lake hapa chama alipigwa na butwaa kwani kuvunja mkataba wake ni Pesa ndefu Sana...

2-Kwa wale ambao waliwai kufika uwanjani siku ile Simba anacheza na waydad Casablanca, muda wa warming up chama alimuomba jamaa flani hivi mpira punde si punde kocha wa viungo aliwaita wachezaji wote ili waendelee na program cha ajabu chama hakutaka kuenda kwenye program ya kocha wa viungo ananga'nga'nia apewe mpira na yule jamaa akamkazia kumpa mpira....hii ilipelekea chama kukasirika sana mpaka matola kumsihi zaidi ya mara tatu chama akafanye mazoezi na wenzake(walio kuwepo uwanjani waliona hili tukio live).

3- Chama hataki kamwe kuwa mbadala wa mchezaji yeyote pale Simba anataka aanze kupangwa yeye hataki kuingia akitokea SUB,katika hili chama ashajiona yeye ni Ronaldo pale Simba kwamba kumuweka benchi ni dharau na kumkosea heshima.

4-Chama aligomea tena mazoezi ya viungo Jana hii ilimkasirisha Sana kocha Benchika na rasmi akamtoa kwenye mipango yake.

Hatahivyo chama ajitumi mazoezini , ajishughulishi na amejisahau kwamba hakuna mkubwa katika timu.

Tutegemee mawili katika maamuzi ya kikao cha kamati ya nidhamu
1-Chama kutakiwa Kila khery Simba.

2- Au kupumzishwa mechi sita zote za mashindano ya ndani na nje.

Hizi ni habari za kweli kabisa achana na wazee wa udaku.

Namimi kama Abby.
Chambuzi genius.



Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kama uyasemayo ni kweli basi Simba ishinde mechi zake bila Chama amani itakuwepo, ikitokea Simba ikafungwa au kutoa sare bila Chama kuwepo Kuna mambo matatu lazima yatokee.
1.Kocha kufukuzwa
2. Mangungu kupewa shinikizo lakuachia
madaraka.
3.Chama kurudishwa kundini haraka, ili kutuliza upepo, kitu ambacho Benchika hatakubali na kuondoka.
4.Suluhisho pekee ni Simba kushinda mechi zake bila Chama kuwepo uwanjani.
 
Kama uyasemayo ni kweli basi Simba ishinde mechi zake bila Chama amani itakuwepo, ikitokea Simba ikafungwa au kutoa sare bila Chama kuwepo Kuna mambo matatu lazima yatokee.
1.Kocha kufukuzwa
2. Mangungu kupewa shinikizo lakuachia
madaraka.
3.Chama kurudishwa kundini haraka, ili kutuliza upepo, kitu ambacho Benchika hatakubali na kuondoka.
4.Suluhisho pekee ni Simba kushinda mechi zake bila Chama kuwepo uwanjani.
Mkuu hii habari ni kweli hauna uongo ata punje

Upuuzi wa kumuona chama Kila kitu ndio unawaponza Simba waingie Sokoni watafute mchezaji zaidi ya chama

Umesahau saido aliondoka ,djuma Shaban na bangala mbona yanga ilisimama unajua kwanini?

Kwasababu yanga wamepata mbada wa wachezaji hao

Viongozii waache ulimbukeni wa kumtukuza mchezaji ipo siku wakiendeleza kumdekeza chama atamtia mtu kidole

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kama uyasemayo ni kweli basi Simba ishinde mechi zake bila Chama amani itakuwepo, ikitokea Simba ikafungwa au kutoa sare bila Chama kuwepo Kuna mambo matatu lazima yatokee.
1.Kocha kufukuzwa
2. Mangungu kupewa shinikizo lakuachia
madaraka.
3.Chama kurudishwa kundini haraka, ili kutuliza upepo, kitu ambacho Benchika hatakubali na kuondoka.
4.Suluhisho pekee ni Simba kushinda mechi zake bila Chama kuwepo uwanjani.

Miaka ya nyuma sana kombe la Afrca Mashariki lilifanyika hapa dar. Simba siku hiyo ilicheza na Gor Mahia. Kabla ya hio mechi Simba walikuwa wanasumbuliwa na mchezaji Frank Kassanga (Bwalya) kwa ulevi uliopindukia. Viongozi wakijaribu kumsihi lakn wapi nakuachia.

Mtangaziji alikuwa Ahmed jongo.
Nikiwa mwanafunzi mdogo tuliingia kwa kupenya chini ya geti mojawapo dogo upande wa Mashariki. Akiwa anatangaza list alisema ... "namb nne ni jamuhuri kiwelu na centre half ni method mogella. Method mogella fundi leo ni centre half..." uwanjani mzima uliguna.

Kweli method alikuwa bonge la mchezaji, lakn alikuwa alicheza kiuongo na mara nyingi namba nane ambaye hamis gaga ndie ilikuwa namba yake. Siku moja mechi ya Simba na Sigara, yeye method akianza kama namba nane na gaga alikaa nje. Kipindi cha pili kimeenda dk kadhaa uwanja unashangilia, mtangazaji anasema hizo kelele sio kuwa Simba imepata goli ila gaga anapasha Misuli. Kwahiyo walizoea kumwona fundi akicheza dimba la juu sio beki.

Method alikiwasha sio mchezo kiasi kwamba Simba hawakuona tena umuhimu wa Kasssangq. Na kuanzia hapo Kasanga alipumzushwa na msimu ulipoisha akatemwa. Najua Simba itampata mtu wa kuziba nafasi ya Chama soon or later.

Yanga nayo kombe hilohilo sijui kabunda au nani akizingua wakiwa Uganda, Said Mwamba Kizota akamaliza centre half, na alidumu sana kwny hio nafasi. Sijui kwann inakuwaga hivi maana hata Okwi naye akianza kuleta kama hizi
 
Miaka ya nyuma sana kombe la Afrca Mashariki lilifanyika hapa dar. Simba siku hiyo ilicheza na Gor Mahia. Kabla ya hio mechi Simba walikuwa wanasumbuliwa na mchezaji Frank Kassanga (Bwalya) kwa ulevi uliopindukia. Viongozi wakijaribu kumsihi lakn wapi nakuachia.

Mtangaziji alikuwa Ahmed jongo.
Nikiwa mwanafunzi mdogo tuliingia kwa kupenya chini ya geti mojawapo dogo upande wa Mashariki. Akiwa anatangaza list alisema ... "namb nne ni jamuhuri kiwelu na centre half ni method mogella. Method mogella fundi leo ni centre half..." uwanjani mzima uliguna.

Kweli method alikuwa bonge la mchezaji, lakn alikuwa alicheza kiuongo na mara nyingi namba nane ambaye hamis gaga ndie ilikuwa namba yake. Siku moja mechi ya Simba na Sigara, yeye method akianza kama namba nane na gaga alikaa nje. Kipindi cha pili kimeenda dk kadhaa uwanja unashangilia, mtangazaji anasema hizo kelele sio kuwa Simba imepata goli ila gaga anapasha Misuli. Kwahiyo walizoea kumwona fundi akicheza dimba la juu sio beki.

Method alikiwasha sio mchezo kiasi kwamba Simba hawakuona tena umuhimu wa Kasssangq. Na kuanzia hapo Kasanga alipumzushwa na msimu ulipoisha akatemwa. Najua Simba itampata mtu wa kuziba nafasi ya Chama soon or later.

Yanga nayo kombe hilohilo sijui kabunda au nani akizingua wakiwa Uganda, Said Mwamba Kizota akamaliza centre half, na alidumu sana kwny hio nafasi. Sijui kwann inakuwaga hivi maana hata Okwi naye akianza kuleta kama hizi
Hii ni kwasababu mashabiki na baadhi ya viongozi kumpenda Sana mchezaji kupita maelezo yaani huwaambii kitu hata kama mchezaji atafanya vibaya

Mwisho wa ubaya aibu ngojea tuone maamuzi ya kikao cha kamati ya nidhamu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hii ni kwasababu mashabiki na baadhi ya viongozi kumpenda Sana mchezaji kupita maelezo yaani huwaambii kitu hata kama mchezaji atafanya vibaya

Mwisho wa ubaya aibu ngojea tuone maamuzi ya kikao cha kamati ya nidhamu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app

Ni kweli usemacho.
Ila natamani waje na maamuzi ya siri, ila wamwambie kocha ampige benchi la kutosha na pili, akatwe mshahara
 
Kama uyasemayo ni kweli basi Simba ishinde mechi zake bila Chama amani itakuwepo, ikitokea Simba ikafungwa au kutoa sare bila Chama kuwepo Kuna mambo matatu lazima yatokee.
1.Kocha kufukuzwa
2. Mangungu kupewa shinikizo lakuachia
madaraka.
3.Chama kurudishwa kundini haraka, ili kutuliza upepo, kitu ambacho Benchika hatakubali na kuondoka.
4.Suluhisho pekee ni Simba kushinda mechi zake bila Chama kuwepo uwanjani.
Sasa hivi hata washabiki wenyewe wameamua kumpotezea ndiyo maana hata asipopangwa hakuna mayowe kama zamani kwani kila mtu anaona kuwa input ya Chama kwa sasa ndogo tofauti na zamani. Huyu kuna watu wanamtia ndimu atingishe kiberiti sasa safari kakuta kimejaa. Wacha amfuata Mkude wakasugue benchi huko avic.
 
Kama uyasemayo ni kweli basi Simba ishinde mechi zake bila Chama amani itakuwepo, ikitokea Simba ikafungwa au kutoa sare bila Chama kuwepo Kuna mambo matatu lazima yatokee.
1.Kocha kufukuzwa
2. Mangungu kupewa shinikizo lakuachia
madaraka.
3.Chama kurudishwa kundini haraka, ili kutuliza upepo, kitu ambacho Benchika hatakubali na kuondoka.
4.Suluhisho pekee ni Simba kushinda mechi zake bila Chama kuwepo uwanjani.
Yah,
Ni kama yanga ilivyofanya bila Feisal
 
Sasa hivi hata washabiki wenyewe wameamua kumpotezea ndiyo maana hata asipopangwa hakuna mayowe kama zamani kwani kila mtu anaona kuwa input ya Chama kwa sasa ndogo tofauti na zamani. Huyu kuna watu wanamtia ndimu atingishe kiberiti sasa safari kakuta kimejaa. Wacha amfuata Mkude wakasugue benchi huko avic.
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama yanga wanataka kumsajiri chama maana namba anayo cheza yeye wapo wengi pale

Huyo chama labda akajaribu bahati huko Azam kwa waramba vijiti

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom