Duh? Mkuu umenikumbusha majuzi (J/pili) nilipishana na chizi akiwa anavuja damu mdomoni, tulipo karibiana ghafta akaanza kukunja ngumi nami nikakunja nikawa namfuata ili nimuwahi kabla ya yeye kuniwahi (ugomvi kuwahiana) Ghafra akilizangu zikabadilka nakunituma nitoke nduki na kweli nilikimbia nakumuacha amefura kwa hasira huku matusi yakimtoka. Nilivyo fika mbali nikawa najiuliza, Ivii kama wangetokea watu nakuona napigana na chizi tena akiwa anavujwa na damu wangenichukulia hatuagani? Ivii kama angeniwahi yeye (sijui kama alikua na siraha) ingekuaje? nilijiuliza maswali mengi sana bila kupata jibu la maana. Nishukuru usafi niliokua nao siku hiyo ndio ulio niokoa maana nilihofia asije kuni chafua.duh.. mi naogopaga sana nikikutana na kichaa barabarani maana huwezi jua siku hiyo kaamka vipi, sema ndio vile kwa sababu nao ni binadamu hatuwatengi na jamii ila ni hatari sana
Chanzo hapo ni Uchizi tu.pole kwa kushuhidia vifo. taarifa zaidi kuhusu marehemu hao chanzo cha vifo hivyo ni nini? kulikuwa na ugomvi wowote kati yao ?
pole kwa kushuhidia vifo. taarifa zaidi kuhusu marehemu hao chanzo cha vifo hivyo ni nini? kulikuwa na ugomvi wowote kati yao ?
Mwee! huyo chizi akifika akhera akapimwe akili!
Labda amemnyima msosi
Duh? Mkuu umenikumbusha majuzi (J/pili) nilipishana na chizi akiwa anavuja damu mdomoni, tulipo karibiana ghafta akaanza kukunja ngumi nami nikakunja nikawa namfuata ili nimuwahi kabla ya yeye kuniwahi (ugomvi kuwahiana) Ghafra akilizangu zikabadilka nakunituma nitoke nduki na kweli nilikimbia nakumuacha amefura kwa hasira huku matusi yakimtoka. Nilivyo fika mbali nikawa najiuliza, Ivii kama wangetokea watu nakuona napigana na chizi tena akiwa anavujwa na damu wangenichukulia hatuagani? Ivii kama angeniwahi yeye (sijui kama alikua na siraha) ingekuaje? nilijiuliza maswali mengi sana bila kupata jibu la maana. Nishukuru usafi niliokua nao siku hiyo ndio ulio niokoa maana nilihofia asije kuni chafua.
nzengo ndio nani? au nini?
Mkuu, me nimtu mstaarabu sana ispokua sipendi kuletewa za kinyonge (kionewa) nikotayari kuzichapa hata mbele ya familia yangu (mke na watoto)hahahAa Hahahaaha hahahahH Hahaaha We jamaa.yaelekea mtata sana.