Attention msiyo na ajira!!!

Tukauze pembe za ndovu, nitafuteni ma graduate waote msiokuwa na kazi kama mm tukauze pembe za ndovu
 
Naomba kuuliza, hivi vijana wote tusio na ajira na serikali inatuangalia kwa furaha tu mwaonaje tutafute njia mbadala ya kuieleza jamii kuwa tuna shida?Nayaandika haya kwa sababu tupo hatarini kuangamia maana inafika mda unakuta huna kazi ya kufanya hivyo unakuta unaingia katika vishawishi vya ngono na hatma yake inafahamika tu, maana tupo loose sana.

Ushauri:
Tuandamane maandamano ya amani kuonesha hisia zetu kwa serikali ya ccm na jamii kwa ujumla. Najua wengine mtakuja na kujiajili, Ni kwamba hatuna initial capital na Financial Institutions zenyewe masharti kwa vijana kama siye ni vigumu kukidhi.

Kuandamana sio utatuzi wa matatizo. Ebu fikiria kama wote wasiokuwa na ajira wangeandamana je hu muda wa kutuma application utaupata wapi? Na vipi kuhusu interview utaifanya ukiwa kwenye maandamano yako ya amani?
Tuache tabia ya kuitupia lawama serikali kuwa haifanyi chochote kwa ajili ya watu wake, kwa sasa ni kuwa ukitegemea ajira za serikalini utazeeka na degree zako kichwani. Sio lazima uajiriwe, pia si lazima unapomaliza masomo tu uajiriwe on the spot, kumbuka kuwa kupata ajira ni mchakato tena wa muda mrefu na ambao unahitaji uvumilivu, Leo huna kazi lakini kesho utapata, tusilazimishe mambo. Kwa nini uandamane? kwani umeambiwa mwajiri ni serikali pekee yake? mbona kuna waajiri binafsi, hao hamtaki kuwaongelea mmeng'ang'ana na serikali tu. Mtu akikosa chakula yeye na watoto wake anailalamikia serikali, akikosa ada za shule analalamikia serikali, je serikali itashugulikia mambo mngapi?
Lazima uelewe kuwa ustawi wako kiuchumi ni jukumu lako mwenyewe Usisubiri serikali ikufanyie mambo yako fanya kwa sehemu yako mwenyewe.

Ahsante sana.
 
Swali huwa najiuliza; kwanini watu especially wenye ajira huwa wanapenda kunyooshea vidole wasiokuwa na ajira kuwa wajiajiri?kama kujiajiri ni kitu kidogo na simple kwanini wao wameajiriwa?

unakuta viongozi walioko serikalini,hata hapa jf wanawasonta vidole wasioajiriwa kuwa hawafikirii,degree zao feki ndo mana hawajitumi mana thinking capacity yao ndogo n.k.
 
Angalia usije ukaishia kama ponda!!! Kama Bado haujapata kazi na hauna hela ya mtaji piga hata vibarua vidogo vidogo kuyakabili haya maisha maeneo ya mikocheni kuna viwanda vingi sana nenda kule kaombe tempo upate hela ya kununulia mifuko ya kaki na hela ya nauli ya kumpa mtu wa kukupelekea cv au upate hela ya kununua modem na kujaza bundle kwa ajili ya kutuma cv na kutafuta onlines site sinazotoa matangazo ya ajira.

King III naomba ufafanuzu vizuri wa hayo makampuni yanayotoa temporary job huko mikocheni.
Kwani si haba kibaba yaweza kupunguza machungu..
 
mie sidhani ka kuandamana itakuwa solution, we ka kijana watakiwa ujitambue na ujue what you want, mfano mie after graduation niliondoka dsm ingawa ni ka home huko kwani tuna kibanda huko, nikaenda kaskazini, nikaanza kutafuta makampuni yanayodil na fani niliyosomea,nikawapa cv na kuwaeleza kuwa nina sifa na nataka kazi, nikawapa conditions kuwa wanipe 3 months trial bila salary ila wanipe allowance ya meals na transport then wakiridhika na utendaji wangu watanihire na nikiwadissapoint wanitpotezee, wakakubali coz hata performanc yangu skul ilikuwa mwake, then after a month wakaniajiri.so wewe ka kijana u have to know what you want and how to get it,tupambane kibishi tu pamoja na kuwa smart kwenye area yako ya expertise.ni kweli vijana wengi hawana ajira wala means za kujiajiri na inaumiza wengi but kuandamana hakuwezi izindua hii serikali inafanya mabo kwa kuzima moto tu..............
your gender contributed a lot in ur achievement don u c that
 
May b bt mie mtendaj mzuri and nimepata offer sehemu nyingine ths wk so its all abt kuji2ma nadhan

Kwani kuna mtu mtendaji mbaya anajisema?

Mimi mwenyewe daily natoroka lakini ni mtendaji mzuri..

Watoto wakati mpo shule mlikuwa mnacheza au? Kpmg, pwc, delloite, ernst and young, pkf, howrd stwrh, sdv, geita gold mine, mbeya cement,etc

wote wanakujaga vyuoni kuchukua wanafunzi kila mwaka wanaofanya vizuri na hakuna magumashi kitu pepa then oral na gpa ikiwa unasoma wanakubeba .. So ukijumlisha wote hao nafasi kibao,,,

Sasa madogo mkiwa chuo mnafukuzia mademu tu na bia mnapiga gpa mbili then mnataka mpate ajira kwa kuandamana kama wa mbagala..

Kama una uwezo utaonekana tu hata wabane vipi,, alipozaliwa george weah hapo monrovia ni balaa but since he was 12 her mother knows that she deliver the most famous son in africa alikuwa anawaambia mashost wakabisha but by 17 dogo aka prove usemi wa her mother na kuja kuwa succeed kuliko wote from africa kwa nguvu ya mpira tu watu walitaka wampe nchi hadi akamliza mama wa watu kwenye kampeni za urais na phd zake za havard ( pitia wikipedia george weah) ..

So kama wewe mkali piga uptitude za proffessional firms lazima utapata tu as hakuna majungu but kuwaza kuandamana ni ujinga as kila mtu ataubeba msalaba wake
 
King III naomba ufafanuzu vizuri wa hayo makampuni yanayotoa temporary job huko mikocheni.
Kwani si haba kibaba yaweza kupunguza machungu..


Ni Kibarua Nenda mikocheni industrial area viwandani ukaulizie mzigo pale MM steel.sayona,cool blue,safari cargo,tembo blocks,ipp viwanda vya mafuta,toi pepa,always etc
 
May b bt mie mtendaj mzuri and nimepata offer sehemu nyingine ths wk so its all abt kuji2ma nadhan
Mtendaj mzuri ndio sina dought, na imejulikana baada ya kupata chance ya kufanya rehearsal 4 some dayz o months, sasa nw dayz kigumu nikupata hizo chance na ndicho anachokilalamikia mtoa uzi, maelezo yote kuhusiana na maswala ya kazi unakuta yapo mandeted kwa mlinzi according to mtoa uzi. Ila above all the odds maandamano sidhani km yatatoa output nzuri as desired by waandamanaji
 
Back
Top Bottom