hapo pekundu kaka!?
kuna kumuudhi gani baba mchungaji kunakoweza kuwa zaidi ya hiki alichofanya sasa!!? ongeza na aibu kwao na kwake! Mi nadhani ni waluwalu tu hakuna cha zaidi!
Angeweza kukimbia kabla hata ya ndoa, and that would have saved her all this ambarrassment to herself and her family! Na unajua yanayosemwa, mabaya au mazuri, yanaumba!
And to the one you have just called 'her lover', very poor planner! sees not beyond his nose! Binafsi kanikera.
Inaitwa kusogeza mbele matatizo mkuu....binadamu tuna tabia hiyo sana...
Tunaahirisha matatizo, na matokeo yake ni kuongeza matatizo mengine....badala ya kuyakabili yaishe....
Hapa kila mmoja ana 'share' yake ya lawama....kuanzia binti, baba yake, mama yake, 'muoaji' na 'mwizi'.....