Atoke vipi jamani!

Atoke vipi jamani!

ZENITH

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
1,057
Reaction score
973
uploadfromtaptalk1361700823528.jpg
Hali ni tete!
 
Aombe apewe mabawa apae kama bado anapenda kuishi kama apendi jiachie meeeeennnnnnnnnnnnnnnn!!!!
 
Apambane na Nyoka hukohuko juu mana huku china wanaua vibaya sana. Akate tawi la mti pale, mchape Nyoka tu..
 
hapa akaze roho amtindue nyoka, nyoka akidondoka chini atamtemea simba mate usoni, ili simba ajiokoe na sumu atakimbilia kwenye maji kuosha sumu, mamba wale lazima watimke wakimuona mzee wa nyika. Jamaa ashuke zake taratibu akipiga mluzi kama ana karanga mfukoni atupie moja moja mdomoni kwa raha zake.
 
hapa akaze roho amtindue nyoka, nyoka akidondoka chini atamtemea simba mate usoni, ili simba ajiokoe na sumu atakimbilia kwenye maji kuosha sumu, mamba wale lazima watimke wakimuona mzee wa nyika. Jamaa ashuke zake taratibu akipiga mluzi kama ana karanga mfukoni atupie moja moja mdomoni kwa raha zake.

Umetisha mkuu
 
hapa akaze roho amtindue nyoka, nyoka akidondoka chini atamtemea simba mate usoni, ili simba ajiokoe na sumu atakimbilia kwenye maji kuosha sumu, mamba wale lazima watimke wakimuona mzee wa nyika. Jamaa ashuke zake taratibu akipiga mluzi kama ana karanga mfukoni atupie moja moja mdomoni kwa raha zake.
yaani nimecheka sana hasa hapo kwenye kupiga muluzi na kutupia karanga mdomoni!...very interesting kwa kweli...
 
yaani nimecheka sana hasa hapo kwenye kupiga muluzi na kutupia karanga mdomoni!...very interesting kwa kweli...
Ye Soya hicho nacho kibarua ujue. Jaribu kuchew karanga huku unapiga mluzi uone hasara yake! Btw am glad leo nimeweka smile usoni kwako:yo:
 
Last edited by a moderator:
Apite kwa Simba. Simba wa siku hizi mdebwedo. Akishajitambulisha yeye ni Libolo anapita kiulaini.
 
Aseme maneno ya Ayubu!
..mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake za kuishi si nyingi, nazo hujaa taabu, yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa.....etc
 
Kwanza aniambie ilikuwaje akafika katika hali hiyo
 
Hii ndo Dilemma ya ukweli, but hapo lesser evil ni kudeal na nyoka tu!!!!
 
hapa akaze roho amtindue nyoka, nyoka akidondoka chini atamtemea simba mate usoni, ili simba ajiokoe na sumu atakimbilia kwenye maji kuosha sumu, mamba wale lazima watimke wakimuona mzee wa nyika. Jamaa ashuke zake taratibu akipiga mluzi kama ana karanga mfukoni atupie moja moja mdomoni kwa raha zake.
Hihihuhuhahahahaaah!
 
Simba ndio weak predator hapo...nina uhakika hako kasilaha ka upande wa kulia bado kapo hajakavyeka


521410_418210074935521_1108213767_n.jpg
 
Back
Top Bottom