Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,070
- 6,897
kweli wanadamu mu wachokozi. nimeamini hata Yesu akija mtamfitini hata kuliko enzi zile za kaisari. unategemae rage asibaki na ubunge tu na kuachana na mambo ya ball?Simba ndio weak predator hapo...nina uhakika hako kasilaha ka upande wa kulia bado kapo hajakavyeka
![]()