ATM zimepatwa na nin?

ATM zimepatwa na nin?

Nmb juzi walirusha message kwa kila mtumiaji wa NMB kua wana marekebisho lakini sijui watz wana dhida gani aisee

Sio wote waliopata
Jumamosi nilitaka kutumia nmb mkononi huduma ikawa haipatikani nikasema niende katika tawi lao nalo halikufunguliwa

Kama wamepigwa kitu KIZITO watoe tamko tujue namna ya kupata pesa zetu kwa lazima
 

Attachments

  • 1000020485.jpg
    1000020485.jpg
    12.1 KB · Views: 6
Sio wote waliopata
Jumamosi nilitaka kutumia nmb mkononi huduma ikawa haipatikani nikasema niende katika tawi lao nalo halikufunguliwa

Kama wamepigwa kitu KIZITO watoe tamko tujue namna ya kupata pesa zetu kwa lazima
Nimeogopaaa ...wahudumu wapo nje kusema scan scan hapo hela hazitoki
 
Back
Top Bottom