Mbona kama mnawachekea hao jamani!?Halafu walivyo watu wa ajabu siku ukienda kumhamisha mtoto pale wanakupeleka kwa mwalimu wao sijui ni mshauri au ni mwalimu wa taalum.Anaanza kukuhoji kwa unyenyekevu ooohhh tatizo liko wapi,ukishamwelezea anakwambia tupe muda tutajirekebisha na umwache mtoto aendelee kusoma hapahapa.Mimi nikawaambia jirekebisheni kwanza mkikaa sawa nitamrudisha mtoto hapa,basi toka mwezi wa tisa mwaka huu mpaka leo hawataki kunipa namba ya uhamisho wananizungusha mara jina la mtoto limekosewa,mara mwalimu anayeshughulikia hayupo yaani ili mradi ni karaha tu
Sana sana tumewaambia hawasikii,sasa tunaona mwishowe tuseje gombana wakati uwezekano wa kujirekebisha haupo.Hapo ndipo nilichukua uamuzi wa kumhamisha mtoto tuMbona kama mnawachekea hao jamani!?
Ndalichako anamiliki magari ya kusafirisha wanafunzi wa shule za private au hiyo shule ya ATlas?Ndalichako Aione Hii Habari
Sio, yeye ni Sylivanus RugambwaSidhani kama ni huyo.
HahahahahaaaIkiweka mada ya watoto ndo utagundua jf wote wazazi, wakati huo kwenye jukwaa la MMU wengi mabikra!! Ila nyie watu!
Sio kwa mabweni ya primary pekee ni shule mzima na ni vita moja wapo iliyowashinda kwa miaka yote ya uhai wao na kwa jinsi wanavyoipigana kibinafsi hawatokuja kuishindaAtlas Madale inatatizo kubwa la KUNGUNI kwenye mabweni ya primary. Tunaomba wizara ya elimu , mkuu wa mkoa na wizara ya afya kuingilia suala hili maana watoto wanateseka na kunguni afya zao huzorota
Kweli time is good judge, walikuwepo wengi wenye shule imara na kipindi hiki wamefifia.......Sijui ni kwanini anakua hasikilizi wateja wake? Jeuri yake cjui inatokana na nini? Ila time is the good judge
Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.Sitaki kuamini kuwa wazazi wote mmeshindwa aisee!!!
Ingekuwa ni shida unayoipata mwenyewe ningeelewa. Wazazi..pesa zenu...kweli!???
Milion 3That's how we think watanzania.. Unaulizwa A unajibu K
Hana uwezo wa kulitatua hilo,bure ni aghali ni msemo tunatakiwa tuwe nao tunapojadili hiliNinafahamiana na Logistics and Transport officers wa pale. Nitafikisha kilio.
Mimi sipati shida ya usafiri, ila huwa namuona kwenye vikao vya shule hana majibu mazuriHebu hamisheni watoto, shule nzuri ziko kibao!
aisee wazazi mna heka hekaa... unakaa huko temeke sijui kwa azizi Ally mnasomesha watoto Madale?!!.Atlas campus ya Madale madereva ni washenzi sijapata kuona,January Mimi namuhamisha kijana wangu,kwa haraka zao hajali kabisa vituo mlivyokubaliana kumchukua na kumshusha mtoto wanamshusha mwanangu Kwa Azizi Ali barabara ya 2 ways avuke mwenyewe tena jioni badala ya kuja kumshushia Pile!!? hawa jamaa ni jeuri sana
Sitaki kuja kulia kutokana na ujeuri wao acha nije nilie kwa mipango ya M/Mungu
Nilishatoa ufafanuz kwenye hili ,sina haja ya Ku kujibuaisee wazazi mna heka hekaa... unakaa huko temeke sijui kwa azizi Ally mnasomesha watoto Madale?!!.
tena primary afu day?!!!!
na foleni za dar?
hongereni na poleni.
wala sihitaji majibuNilishatoa ufafanuz kwenye hili ,sina haja ya Ku kujibu
Watafutie usafiri binafsi, sitaki kuamini kama unashindwa. Maana option bora ya kuwahamisha haiwezekani na unataka kufuata taratibu hatua baada ya hatua.
Hapo atlas kuanzia msafisha vyoo hadi mkuu wa shule uwa na majibu km haya,angalia huu hamna hata mzazi mmoja ambaye hajatoa lawama juu ya mapungufu yenu,badala ya kuyafanyia kazi malalamiko ya wazazi,mmejawa na majibu ya kijeuri,msitunyime uhamisho tu tutakapokuja kuwahamisha watoto wetusijui wtzn tuko je ulipie 860,000 mototo ahudumiwe kama Hotelini kila kitu kina "opportunity cost" Fesa boys kila kitu kipo ada ni 16.5m boarding mpeleke uko ilianawili vzri
Kuna jirani yangu ana mtoto anasoma Atlas ya Ubungo darasa la sita au la saba, cha ajabu mwanafunzi alikuwa anchukua simu ya dada wa kazi anaongea nayo sana hasa usiku maana analala chumba kimoja na huyo dada, alikuwa anaongea issues za mapenzi. Dada alipombana kwamba anaongea na nani akasema no dereva wao wa gari ya shule. Inaonekana dereva alianza kumuandaa yule mtoto maana ni mrefu kidogo na matiti yashaanza kuchomoza. Kwakweli sikuwa na cha kuongea ila nilimwambia tu huyo dada yao wa kazi amkanye na kumtishia kwamba atamwambia mama yake. Kama wenye shule atapitia jukwaa hili ni vzr akamkanya dereva wake anayechukua watoto wa TABATA KISIWANI ( MAENEO YA MWANANCHI COMMUNICATIONS). Aache hiyo tabia ya kitongoza kitoto cha jirani yangu.
NB: Hii habari niliipata nilipoenda dsm nikitokea Mtwara ,kwani huyo dada alimwambia make l wangu ambaye bado anaishi huko.
Ni tatizo haswaa! Hawa madereva wanabaka watoto kwa kuwadanganyaHili ni janga jingine na c kwa Atlas pekee, ni pamoja na shule nyingi... Madereva wanawafundisha mapenz watoto wadogo