Kwetu Iringa
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 355
- 88
Leo asubuhi wakati wa kupitia magezeti ya leo na RFA nimesikia kwenye gazeti la Mtanzania kuwa wahadhiri wa UDOM wanapanga kugoma tena baada ya kikao chao cha jana. Watangazaji hawakuongea zaidi. Je ni kweli?? Na sababu ni ipi?? Tafadhali tujuzeni tulio mbali