Atheists have no reason to fear death or punishment

Atheists have no reason to fear death or punishment

Hapo ndio ujue kuwa Paulo amekuingizeni mkenge!
Maumivu teyari yamesha anza taratiiib kukuingia. Utaelewa tu. Sasa sifa ya Allah wako ni kuto kufa, wapi Yesu kafa? Je, huoni hiyo sifa Yesu teyari keshainyakuwa?
 
Nimekuwekea Paulo umependae anavyokuonya kuhusu kufuata uzushi wake. Ajabu wewe unaona kuwa nimekiri.Weye! Akili tope kabisa.

Umeona ayat.
Every soul will taste death, and you will only be given your [full] compensation on the Day of Resurrection. So he who is drawn away from the Fire and admitted to Paradise has attained [his desire]. And what is the life of this world except the enjoyment of delusion.

Je Yesu alikufa?
Umesha anza kukirikuwa Yesu ni Mungu.

Tuendelee, hivi Allah alikuwa wapi miaka mia sita baada ya Kuzaliwa Yesu, na aje na hadithi za kuetenegeza? Hivi alishindwaje kusema haya wakati wa Isa bi Maryam alipo zaliwa mpaka asubiri miaka mia sita ipite/baadae?
 
Nipo Mkuu. Kuhofia kifo sio kuhofia hukumu au moto. Kifo ni jambo ambalo halipokelewi kirahisi na mtu yeyote, awe muumini wa Mungu au lah.
Kifo ni nini? Je, kuna maisha baada ya kifo?
 
Naona sasa umeanza kuonyesha presence of demons in you. Come to Church, I need to cast those demons out of you.
Ishmael
Unajianya mjanja lakini maandishi yako yanakuweka mtupu (uchi). Mr. Multple Ids.

Hizo demons ndio biashara yako ya kukusanyia sadaka.

Hizi sarakasi zenu, peleka kwa kondoo za bwana. Mapepo imekuwa ibada katika makanisa ya Paulo.





 
Last edited by a moderator:
Umesha anza kukirikuwa Yesu ni Mungu.

Tuendelee, hivi Allah alikuwa wapi miaka mia sita baada ya Kuzaliwa Yesu, na aje na hadithi za kuetenegeza? Hivi alishindwaje kusema haya wakati wa Isa bi Maryam alipo zaliwa mpaka asubiri miaka mia sita ipite/baadae?

Nimekuuliza Yesu alizaliwa lini?
 
Nimekuuliza Yesu alizaliwa lini?
Unaanza kuona duble duble mapema hii kama ule wimbo wa Chezimba Band!!!

Ngoja nikusaidie, hivi kwanini wana Historia wanatumia B.C na A.D? Ulisha wai jiuliza why? Ukipata jibu basi utaelewa Yesu alizaliwa lini? Ukigoma kunipa jibu basi, nionyeshe kwa kutumia Quran, Isa bin Maryam alizaliwa lini? Usiogope kusema ukweli.
 
Kifo ni kusimama/kukoma kwa uhai. Sina ushahidi wa kuwapo maisha baada ya kifo.
Kusimama kwa uhai? Aisee, kumbe uhai unaweza kukoma/simama... sasa huu uhai unao koma/simama ni nini hasa na unaishi wapi katika mwili wa binadamu?
 
Kusimama kwa uhai? Aisee, kumbe uhai unaweza kukoma/simama... sasa huu uhai unao koma/simama ni nini hasa na unaishi wapi katika mwili wa binadamu?
Ni kitu kinachohitaji kufanyiwa utafiti wa kutosha kukibaini kwani mfumo wa mwili kuishi unaongozwa na mfumo wa vitu vingi vinavyotegemeana ambapo kimojawapo au vyote kwa pamoja vikishindwa kufanya kazi, mtu hufa.
 
if you think there is no God, then you also think that when people die they're going no where, its over, done, finished.. you'll obviously be afraid of dying.. but I know God is there and He will welcome me to the Heavens when all this is done, when He has taken down the devil and his friends and followers, thats why I have hope and I know there is a life awaiting us after these sufferings

Everybody fears death, believe it. Be it atheist or not, the thought of how you are going to die, I mean the manner of your death, Unaccomplished goals you wish you had accomplished before death, how your family is going to cope with your absence and related details are some details that leave many of us with fear. The only difference between Atheists and God believers is that, while God believers comfort themselves in thoughts of life after death, eternal life and rewards if they conduct themselves up to standards of their beliefs, Atheists face death head-on without such illusions and are okay with it.
Even people who have suicidal tendencies usually face a certain degree of fear when they realize that they are facing imminent death and that there is no turning back to reserve a situation leading them to death.
Scary, huh?
 
Nimekuuliza Yesu alizaliwa lini?
Hebu tumuulize Allah aliye dai kuwa kamtuma Issa Bin Maryam na akamchukua kabla ya kusulubiwa na kufa Msalabani. Maana inaoneka Allah wako anamfahamu Issa bin Maryam kweli kweli, AU SIO,

SASA, niletee aya kutoka Quran unayo iamini na yenye Sura Maryam, lini Isa Bin Maryma alizaliwa. Ukisha niletea, PLEASE UFANYE HIMA KUNISILIMISHA HAPA HAPA JF.
 
Maumivu teyari yamesha anza taratiiib kukuingia. Utaelewa tu. Sasa sifa ya Allah wako ni kuto kufa, wapi Yesu kafa? Je, huoni hiyo sifa Yesu teyari keshainyakuwa?
Nikupe hongera kwa kukiri ukweli wa Quran.
Umeanza kuelewa ukweli.


Sasa waeleze kondoo za bwana kuwa yale maneno aliyotahadharisha Paulo yametimia.



.... Sasa sifa ya Allah wako ni kuto kufa, wapi Yesu kafa? Je, huoni hiyo sifa Yesu teyari keshainyakuwa?

Ishmael, teyari ndugu umeingiza mguu mmoja ndani ya uislamu. Hiyo kukiri tu kuwa Yesu hajafa au kutia shaka juu ya kufa kwa Mungu wako teyari usukule aliokukuingiza Paulo umeanza kuyeyuka.

Sasa tamka ..ashhadu.....

cc. BillCosby, Allykombo, Kahtaan, Echolima,2013, Eiyer
 
Nikupe hongera kwa kukiri ukweli wa Quran.
Umeanza kuelewa ukweli.


Sasa waeleze kondoo za bwana kuwa yale maneno aliyotahadharisha Paulo yametimia.






Ishmael, teyari ndugu umeingiza mguu mmoja ndani ya uislamu. Hiyo kukiri tu kuwa Yesu hajafa au kutia shaka juu ya kufa kwa Mungu wako teyari usukule aliokukuingiza Paulo umeanza kuyeyuka.

Sasa tamka ..ashhadu.....

cc. BillCosby, Allykombo, Kahtaan, Echolima,2013, Eiyer
Bado haujajibu swali. Nipe aya yenye tarehe ya kuzaliwa Isa bin Maryam.
 
Ni kitu kinachohitaji kufanyiwa utafiti wa kutosha kukibaini kwani mfumo wa mwili kuishi unaongozwa na mfumo wa vitu vingi vinavyotegemeana ambapo kimojawapo au vyote kwa pamoja vikishindwa kufanya kazi, mtu hufa.
Uhai na kuishi ni vitu tofsuti. Mimi nataka kufahamu, uhai ni nini na ukitoka au koma au simama kama ulivyo sema, huo uhai unaenda wapi?
 
Bado haujajibu swali. Nipe aya yenye tarehe ya kuzaliwa Isa bin Maryam.
Ukweli umekuweka huru leo. Na unaonekana unaanza kuelewa kuwa Mungu hazaliwi.

Hii itakusaidia kupata usingizi mnono.

Say, "He is Allah , [who is] One,
Allah , the Eternal Refuge.
He neither begets nor is born,
Nor is there to Him any equivalent."

Link Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Surat hii pii inakuwekea wazi kuwa Mungu hazaliwi. Surat inam-disqualify Yesu katika imani uliyoyanayo juu yake kuwa ni mungu.

Mungu hazai wala hazaliwi.

Waeleze kondoo za bwana kuwa umeamua kuachana na upaulo rasmi.

Mnamfanyia Yesu sherehe ya birthday yake lini vile?
 
Unaanza kuona duble duble mapema hii kama ule wimbo wa Chezimba Band!!!

Ngoja nikusaidie, hivi kwanini wana Historia wanatumia B.C na A.D? Ulisha wai jiuliza why? Ukipata jibu basi utaelewa Yesu alizaliwa lini? Ukigoma kunipa jibu basi, nionyeshe kwa kutumia Quran, Isa bin Maryam alizaliwa lini? Usiogope kusema ukweli.
Wewe utaacha lini uchizi wako?
BC na AD ni hoja ?

Unajua kamba ilikuwepo system ingine kabla ya hiyo AD na BC?

Kamu ulikuwa hufahamu, fanya kauchunguzi ujione ulivyo hovyo kabisa.

Link Anno Domini - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Uhai na kuishi ni vitu tofsuti. Mimi nataka kufahamu, uhai ni nini na ukitoka au koma au simama kama ulivyo sema, huo uhai unaenda wapi?

Unaweza kunipa utofauti wa uhai na kuishi na namna ambavyo haviendi pamoja katika thread hii?
 
Unaweza kunipa utofauti wa uhai na kuishi na namna ambavyo haviendi pamoja katika thread hii?
Uhai katika theogia ni "roho" ambayo inapo ondoka, mwili wako unakuwa mauti.

Mauti ni kukoma kabisa kwa uhai. Mwili unavunjika-vunjika na kugeuka kuwa mavumbi, na ile pumzi, au roho, humrudia Mungu. Sisi ni roho hai tunapoendelea kuishi, lakini tunapokufa tunakuwa maiti tu, yaani, roho iliyokufa, nafsi iliyokufa. Mungu anapoiondoa kwetu pumzi yake ya uhai aliyotupa, roho yetu hufa.
 
Wewe utaacha lini uchizi wako?
BC na AD ni hoja ?

Unajua kamba ilikuwepo system ingine kabla ya hiyo AD na BC?

Kamu ulikuwa hufahamu, fanya kauchunguzi ujione ulivyo hovyo kabisa.

Link Anno Domini - Wikipedia, the free encyclopedia
Kabla ya Kuzaliwa kwake Yesu Kristo (kifupi: KK) ni namna ya kutaja miaka.
Hesabu hii imekuwa njia ya kuhesabu miaka inayotumika zaidi duniani siku hizi. Kila mwaka huhesabiwa kuanzia mwaka unaodhaniwa kuwa mwaka wa kuzaliwa kwake Kristo. Miaka iliyofuata baada ya kuzaliwa kwake huitwa Baada ya Kristo au kifupi: BK.
Kuhusu historia ya hesabu hii tazama: Historia ya Hesabu "Kabla ya / Baada ya Kristo"
 
Back
Top Bottom