Nadhani jambo la imani ni pana sana wakuu.
Enzi za agano la kale kila Taifa lilikuwa na Mungu wao. Tunaona wakanaani walikuwa na mungu baali wengine walikuwa na mungu jua nk
Huku Africa nasi tulikuwa na mizimu yetu. Mfano uliohai kabisa huku kwetu kulikuwa na mlima (upo hadi leo) wazee kipindi...
Leo nilikuwa kwenye bus muda mfupi baada ya safari kuanza kama ilivyo utaratibu wa bus nyingi kama sio zote za kisasa mhudumu wa gari akaanza matangazo mbalimbali lakini kabla ya yote akawataka abiria wasali kwa ajili ya safari.
Huyo mhudumu akasema anajua kwenye gari wapo watu wa aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.