Atheist wengi hawajui wanachokitafuta

Kwahiyo kwa akili yako kila unalolisema basi ni sehemu ya imani yako ?, nimekwambia wazi nimetumia maandiko yale ili kupinga hoja yako mfu eti uthibitisho wa Mungu yupo ni AYA za Quran, lakini ukitolewa AYA Yesu ni kweli amesulubiwa na kufufuka uzitaki , ebu elewa hili jambo dogo hili , ama kuhusu chanzo hayo ni matatizo yako kila kitu kinasababu yake ya kutokea , kajifunze neno "CAUSE" sio " SOURCE" labda unaweza elewa , kuhusu kuku na yai , kuku ndio utoa yai mbona hiko wazi , ata mbegu hurutubishwa na kuwa mtoto ajabu iko wapi, yai kutoa mtoto wakati mbegu hurutubishwa mule
 
https://sw.oxforddictionaries.com/ufafanuzi/shahawa

Halafu njoo kwa manii sio kwamba tunabahatisha hatuna hardcopy cover tuna online dictionary kukopi ilikuwa inasumbua
https://sw.oxforddictionaries.com/ufafanuzi/manii

PITIA link hizo hapo za online oxford living dictionary kiswahili usikariri kubali kujifunza alaaaaaaaa. NARUDIA kwa kinywa kipana SHAHAWA sio MANII ndio maana kule kwenye kamusi yako waliitofautisha kazi kwako kusuka au kunyoa , nilikuwa nakuchora tu unavyolilia moto ukuchome

SHAHAWA -Maji maji yenye mbegu za uzazi yatokayo katika uume

MANII - Ni mbegu za uzazi zitokazo kwa mwanaume au mnyama dume kupitia uume

BONUS: nimekusikia ukitaja MADHII tunaifahamu ni tofauti na MANII na SHAHAWA kila kitu kina tofauti yake , chukua hii ujinga ukutoke

MADHII - UTE autoa mwanaume kutoka kwenye tupu yake ya mbele ashikwapo na Ashiki



Kazi kwako kusoma kuelewa au kuendelea kuleta ubishi wa vibarazani
 
Huwezi kuthibitisha mungu kwasababu hayupo, hizo blah blah hazina msaada wowote kama kivuli cha fimbo
Nacheka sana. Jambo ambalo lina sifa gani ? Ni zipi sifa kutokuwepo kwa jambo fulani au kitu fulani ?

Unaweza kujua kutokuwepo kwa jambo fulani kabla ya kuwepo kwake ?

Hay maswali menginw haya,ambayo ni magumu kwenu. Ukijibu maswali haya naacha kutumia hii Id.
 
Hii tabia ya kupayuka bila fact peleka huko kwa wavaa madera hapa nataka fact

Thibitisha mungu yupo
 
Hii tabia ya kupayuka bila fact peleka huko kwa wavaa madera hapa nataka fact

Thibitisha mungu yupo
Nilishasema na hapa natilia mkazo siendi mbele mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza

Sababu watoto huwa tunawatia adabu,ni kuwa sitajibu chochote baada ya hapa,mpaka pael utakapo jibu maswali yangu.

Nipo .....
 
Nilishasema na hapa natilia mkazo siendi mbele mpaka ujibu maswali niliyo kuuliza

Sababu watoto huwa tunawatia adabu,ni kuwa sitajibu chochote baada ya hapa,mpaka pael utakapo jibu maswali yangu.

Nipo .....
Huendi mbele kwasababu huwezi kuthibitisha, huwezi kwasababu hayupo
 
Huendi mbele kwasababu huwezi kuthibitisha, huwezi kwasababu hayupo
Nimekuongezea maswali na nakupa miaka yote hutaweza kujibu maswali niliyo kuuliza.


Nipo ....
 
Huendi mbele kwasababu huwezi kuthibitisha, huwezi kwasababu hayupo
Nimekuongezea maswali na nakupa miaka yote hutaweza kujibu maswali niliyo kuuliza.


Nipo ....
 
Nimekuongezea maswali na nakupa miaka yote hutaweza kujibu maswali niliyo kuuliza.


Nipo ....

Umeongeza swali baada ya kushindwa kuthibitisha mungu yupo, kama unapinga thibitisha mungu yupo
 
Umeliona jibu lake? πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ Ujinga mzigo kweli kweli
 
Haiwezi kua sawa bila kuthibitisha mungu yupo

Thibitisha mungu yupo
Utaratibu ni ule ule,nimekujibu "sawa" yaani nimekupuuza.

Siku ukijibu maswali yangu,tutaendelea pale tulipo ishia.
 
Kama unavyoona hakuna wa mwanzo wala wa mwisho , huu ni uthibitisho tosha , wewe kama unamjua mtu wa mwanzo mlete
Bado hujathibitisha hoja yako. Naomba uthibitishe ukisemacho, sio porojo. kwa kuwa sijamuona Babu yangu aliemzaa babu yake baba haimaanishi kuwa hakuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…