Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.
Ukweli ni kuwa tupo wengi tusioelewa, Ombi langu kama nitaweza kupata maelezo ya undani kwa kiingereza rahisi kama sio kiswahili!
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.
Ukweli ni kuwa tupo wengi tusioelewa, Ombi langu kama nitaweza kupata maelezo ya undani kwa kiingereza rahisi kama sio kiswahili!
Ipo mijadala humu jukwaani kuhusu Atheism! Kwa bahati mbaya nimejaaribu kuifuatilia bila kufata maana halisi! Kwanza wachangiaji wanatumia kiingereza kigumu sana na wengi ni walewale.
Ukweli ni kuwa tupo wengi tusioelewa, Ombi langu kama nitaweza kupata maelezo ya undani kwa kiingereza rahisi kama sio kiswahili!
Atheism ni imani kwamba mungu hayupo.
Hapo nimepata mwanga maana nilinisumbua sana! MaAtheist maarufu ni akina nani?
kazi kwelikweli!
Hapo nimepata mwanga maana nilinisumbua sana! MaAtheist maarufu ni akina nani?
Uungu wa Mungu umejithibitisha kwenye hayo maneno bila wao kujua hasa kwenye hayo maneno 'magically' na 'rearranged itself' hakuna kitu kinachofanyika chenyewe bila nguvu fulani! ni kushindwa kubaya sana huko kwa kusema vilitokea na kujipanga vyenyewe ukisoma BIBLIA takatifu inakupa mwanga kuhusu hilo hasa kwenye kitabu cha mwanzo mstari wa kwanza....Hapo mwanzo alikuwepo neno(conscious energy) naye neno alikuwepo kwa Mungu(conscious mind) naye neno alikuwa Mungu(conscios energy + conscious mind = conscious soul) na huu ndio utatu mtakatifu usiofahamika hata na wasomi mahiri wa elimu zote
Umeongea maneno yenye uzito sana. Mwenye ufahamu na afahamu