Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,703
- 145,409
Hujajibu maswali yangu.Twende kwa mjadala tuache ubabe wa kukosoa as if unanifahamu....
Kujibu maswali ni sehemu ya mjadala.
Nakufahamu kutokana na maandishi yako.
Maandishi yako yana ujinga.
Ujinga unatakiwa kuondolewa.
Ujinga kwamba atheists wote hawaamini Mungu kwa sababu haonekani.
Unafahamu kwamba kufikiri hivyo ni ujinga?