Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 310
Namkubal mtoa mada kwa kuweka picha yako
Nipe vipimo vya nguvu iliyoshikilia bahari isiweze ku overflow kufunika nchi kavu, vilevile nipe vipimo vya nguvu zinazoweka sayari na nyota zikae sehemu zilipo bila kuingiliana kama umewahi kuzichunguzaNDIYO! Atheism inahitaji physical evidence ili kuamini uwepo wa Mungu.Magnetic force huchagizwa na mvutano wa kielektronic baina ya vitu viwili...Electron ni vitu vinavyoonekana....Kuhusu gravitational hiyo ipo wazi, inaweza kuchunguzika na kutoa majibu....je Mungu anachunguzika na kutoa majibu bila msaada wa akili ya binadamu?
Kila la kheri,lakini hukujibu maswali yangu tukutane wakati mwingine...kwa mjadala zaidi.Una roho au huna roho?
Naenda kilingeni nina session nitarejea alfajiri..naamini utakuwa umenijibu
Hahahahaaa...yaani kwa mf. familia yenu ikiwa na ethics, picha, na vitabu juu ya famili itakuwa na element za dini?...BTW tukutane kesho.Anhaa sasa nimekusoma
Wakati kuna vitu karibu sita atheist wanavyo na dini inavyo, mi ntakuoa baadhi tuu lakini navyo ni
masimulizi, mfano Mungu alimuumba adam, lakini atheist watakuja na evolution
Ethics/maadili, nadhami hapa sina haja ya kueleza wote wana futa hiyo kitu
Mafundisho(doctrine), dini zinatumia quran na bible lakin ma atheist wana tumia vitabu vyao vya kina dawkins, marx na drwin na wengine
Matirio (material), wakati dini ina vitu kama makanisa, sananu na vitu vingine ma atheist wana amini kwenye nature(yaani vitu asilia)
Rituals nadhani kwa kiswahili ni ibada, hiki ndio kigezo kikubwa ambacho ma atheist hawana na ndio kina watofautisha na dini hizo, huwezi kuta atheist anatoa sadaka au ana swali mainly kwa kuwa haamini Mungu
Kwa hiyo wakati ma atheist wana baadhi ya element za kidini, hawana zile za muhimu kuwafanya waifikie dini kabisa ndio maana ni kasema wana fall short kuwa religion ila tabia za ki religion baadhi zimo.
Mkuu hayo mambo yote sayansi na jografia vina elezaNipe vipimo vya nguvu iliyoshikilia bahari isiweze ku overflow kufunika nchi kavu, vilevile nipe vipimo vya nguvu zinazoweka sayari na nyota zikae sehemu zilipo bila kuingiliana kama umewahi kuzichunguza
Ethics si dini lakini ni element ya diniHahahahaaa...yaani kwa mf. familia yenu ikiwa na ethics, picha, na vitabu juu ya famili itakuwa na element za dini?...BTW tukutane kesho.
Bila shaka hukusoma Geography, hivi ukiweka maji kwenye jagi na kuliweka sehemu kama mezani yata overflow kutoka kwenye jagi?...Sayari zote hazijashikiliwa na chochote ndio maana zinazunguka kwenye orbits zake...BTW tukutane kesho.Nipe vipimo vya nguvu iliyoshikilia bahari isiweze ku overflow kufunika nchi kavu, vilevile nipe vipimo vya nguvu zinazoweka sayari na nyota zikae sehemu zilipo bila kuingiliana kama umewahi kuzichunguza
Iweje mnataka kuthibitisha uwepo wa Mungu by mere physical evidence, wakati kuna forces ambazo hamjawahi kuziona, kuzihisi wala kuziquantify na bado mnaamini kwamba zipo?Mkuu hayo mambo yote sayansi na jografia vina eleza
Lakini hata kama mtu hajui hivo vipimo, bado haioneshi uwepo wa Mungu.
Hakuna force ambayo mwana sanyasi ka izungumzia halafu haithibitiki, pia mimi si mtaalamu wa hiyo sanyansi ila sanyansi ime prove karibu kila kitu , ni wewe tu kufuatilia, usitake upewe lecture kabisa ndo ujue imethibitsha.Iweje mnataka kuthibitisha uwepo wa Mungu by mere physical evidence, wakati kuna forces ambazo hamjawahi kuziona, kuzihisi wala kuziquantify na bado mnaamini kwamba zipo?
Umewahi kuona au kucomprehend ukubwa wa hizo sayari na namna zinavyozunguka kwenye njia zake, una evidence kwamba maji ya bahari yamekaa kwenye eneo mfano wa jagi in relation na nchi kavu na kwamba hakuna nguvu nyingine yoyote inayohitajika kuyazuiaBila shaka hukusoma Geography, hivi ukiweka maji kwenye jagi na kuliweka sehemu kama mezani yata overflow kutoka kwenye jagi?...Sayari zote hazijashikiliwa na chochote ndio maana zinazunguka kwenye orbits zake...BTW tukutane kesho.
Hakuna force ambayo mwana sanyasi ka izungumzia halafu haithibitiki, pia mimi si mtaalamu wa hiyo sanyansi ila sanyansi ime prove karibu kila kitu , ni wewe tu kufuatilia, usitake upewe lecture kabisa ndo ujue imethibitsha.
Lakini uwepo wa Mungu haujawahi kuthibitishwa[/QUOTE
Sayansi huwa inatoa na vipimo stahiki, nipe hivyo vipimo au nipe references nikasome mkuu
View attachment 395344
Je atheism ni;
Kuabudu miungu?
Kuabudu shetani?
Kuabudu masanamu?
Kuabudu vitu ?
Ama kutoabudu chochote?
Kila imani ina maelezo fulani kwenye chochote na kila swali lina jibu lake tusiiweke sayansi kwenye kundi la imani..hili ni Somo kama masomo mengine
Kutoamini chochote ni mkanganyiko tu wa akili kwakuwa mwisho wa siku utajikuta unaangukia kwenye imani yoyote japo kwa kificho na imani ya kutoamini chochote ni imani isiyotimia
Ndugu, kama kwa ufahamu mwingi unaodai kuwa nao, yet huwezi kucomprehend hata robo ya universe, unawezaje kuhitimisha kwamba hakuna Mungu. Anyway, ushahidi kwamba Mungu yupo upo wazi, ni swala la kufumbua macho tu na kuona. Kwa heri..Uliza kipimo gani mi nikupe refernce. Kuwa specific.
Ila na wewe nipe ushahid kuwa mungu yupo
HahahaNdugu, kama kwa ufahamu mwingi unaodai kuwa nao, yet huwezi kucomprehend hata robo ya universe, unawezaje kuhitimisha kwamba hakuna Mungu. Anyway, ushahidi kwamba Mungu yupo upo wazi, ni swala la kufumbua macho tu na kuona. Kwa heri..
Kweli kabisaView attachment 395344
kwenye ulimwengu wa vipimo kuna ujazo mbalimbali kama robo nusu na kitu kamili nk.. nusu mbili hutengeneza kitu kamili robo mbili hutengeneza nusu.
Kuna kamchezo ukimtuma mtu asiye mwaminifu akuletee kitu kinachohusika na vipimo kupiga bao! Ukimtuma kilo moja yeye ataleta nusu na robo.
Duniani tuna imani mbalimbali kuanzia zinazoabudu Mungu mmoja,miungu vitu vinavyoonekana hata masanamu kwenye hizi imani kuna mitifuano na mikanganyiko mingi tuu..lakini kiboko ya imani zote ni hii isiyomwamini Mungu mmoja
Jaribu kumuuliza atheist yeyote kwanini huamini katika Mungu atakwambia kwakuwa hajawahi kumuona! Ila muulize kama alishawahi kuiona akili yake au roho yake...hatakupa jibu moja na la moja kwa moja
Hii ni imani isiyotimia isiyojua dhima yake mwanzo wake wala muktadha wa nini inasimamia
Ni imani chongo yenye kengeza barobaro...ikiamini isichokiamini..ikifuata isichokijua
Je atheism ni;
Kuabudu miungu?
Kuabudu shetani?
Kuabudu masanamu?
Kuabudu vitu ?
Ama kutoabudu chochote?
Kila imani ina maelezo fulani kwenye chochote na kila swali lina jibu lake tusiiweke sayansi kwenye kundi la imani..hili ni Somo kama masomo mengine
Kutoamini chochote ni mkanganyiko tu wa akili kwakuwa mwisho wa siku utajikuta unaangukia kwenye imani yoyote japo kwa kificho na imani ya kutoamini chochote ni imani isiyotimia
Yaaani huwa naboreka sana na baadae nacheka mwenyewe pale nnapoona vi-atheist uchwara vya hapa bongo hususani humu JF vinavyojitutumua kujionesha wao ni viumbe wenye akili sana na hata kuwaadaa wengine wenye mtazamo wa kiimani tofauti na wao.Watu mnajifanya ma~expert kwenye atheism wakati hamjawahi kua atheist, hata kukutana na moja bado zaidi ya kusoma ujinga hapa na pale kwenye internet ulio andikwa na watu wenye chuki binafsi kama nyie. Mnafanya assumptions tu.
Binadamu kiumbe wa ajabu sana, mtu ambaye hayupo group moja na nyie mnamuona ka mnyama, hamuwezi kubali tu kua sio wote lazima waamini mnachokiamini?