Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,110
- 3,269
Wewe unataka tukumbatie wachezaji wa ndani tuendelee kukaa tulipokuwa? Mbona klabu ni nyingi watapata nafasi na wakipandishwa klabu kubwa wajitume zaidi.kwa hatua hii bila shaka itauwa vipaji vya soka la vijana wetu kwani ni wazi sasa vilabu havitakuwa tena na mda wa kupoteza wa kulea vijana ili hali kuna soko tayari nje nje la vijana kutoka nje waliolelewa vizuri na wapo tayari kutoa matokeo mazuri (ikumbukwe lengo kuu la wamiliki wa vilabu vikubwa vilivyochangia sana sana kupitishwa kwa kanuni hii ya wachezaji 12 yaani SImba na Yanga wao wanaangalia zaidi katika kutengeneza faida zaidi na kurudisha pesa yao i,e MO & GSM.
Kanachoshikitisha ni kwamba TFF ya sasa inaongozwa na watu wasio na uwezo wa kudadavuo mambo kwa manufaa ya Taifa mbele (namzungumzia Rais wa sasa wa TFF) mungu wangu! "Kitumbo" sijui hata elimu yake ni kiasi gani lakini hata ukimsikia anavyoongea ni mtu asiyejua nini anachoongea basi tu kwa kuwa aliwekwa pale na ""usalama" basi yeye amakuwepo pale akisikiliza matakwa ya wakubwa waliomuweka pale kumpeleka peleka.
Hitimisho ni kwamba ligi yetu itaonekana bora Afrika kwa mda kwa sababu ya "influx" ya wachezaji wa nje lakini soka letu la bongo litaendelea kudidimia mpaka atapotokea Waziri wa michezo mwenye akili na sio huyu wa sasa "mnyambo" mwenye akili "kamasi" anayepelekwa pelekwa kwa kila jambo.