Travis 1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 948
- 1,518
Kumbe bado pesa za Mabeberu bado mnazitaka š.acha upotoshaji, hio inahusiana na kikundi cha wafanya biashara wamaerekani waliopo tanzania ambao wako against trump
Kumbe bado pesa za Mabeberu bado mnazitaka š.acha upotoshaji, hio inahusiana na kikundi cha wafanya biashara wamaerekani waliopo tanzania ambao wako against trump
weka taarifa sahihi ata kama ni negative lakini iwe sahihiKumbe bado pesa za Mabeberu bado mnazitaka š.
kama hujaelewa hio barua bora utulize mshono ndanWewe jinga, wanasema tanzania inaenda kinyume na mtazamo wa Trump ambaye anajali haki ya kuishi kuliko kingine chochote, wanakuwaje against?
Mhagama, Magufuli na maccm kwa ujumlaRoho itendayo dhambi ndiyo itakayo kufa
maji yenyewe yanawasumbua na tumezungukwa na vyanzo vyote vya maji....mnachoweza kufanya zaidi ya wao ni wizi,rushwa,kubagaza rasilimali ,kuteka na kuuwa hamna lingine zaid ya hapoKama Taifa tuone tunaweza kufanya bila wao, Acha waondoke watakuja wengine
Wachina na Warusi? Maana Wachina wao uhusiano wao ni uwape tender, Warusi wao ni wakuuzie silaha zilizopitwa na wakati. Sifa kubwa ya Warusi na Wachina kwa Ccm ni kuwa huwa hawahoji chaguzi za wizi.Kama Taifa tuone tunaweza kufanya bila wao, Acha waondoke watakuja wengine
šØ TANZANIA: U.S. BUSINESS LEADER WITHDRAWS FROM AMERICAN CHAMBER IN TANZANIA AMID ESCALATING HUMAN RIGHTS CRISIS AND NEW TRAVEL RESTRICTIONS
In a dramatic escalation of tensions between the United States and Tanzania, prominent American entrepreneur @MichaelCoudrey, Chairman & CEO of Pharos Investment Group, has withdrawn his organization's membership from the American Chamber of Commerce in Tanzania (@AmChamTZ).
The move follows Tanzania's deteriorating human rights situation, marked by widespread reports of post-election violence, including the killing of hundreds of innocent civilians during protests against the disputed October 29, 2025, elections.
Coudrey's statement, posted on X on December 23, 2025, directly accuses AmChamTZ leadership of opposing President Trump's America-first policies:
ā.....We are hereby withdrawing our membership from @AmChamTZ. Under their current leadership, they are directly opposing and attacking the President of the United States, his leadership, and America-first policiesāwhich is not unacceptable to us..."
"...When the American Chamber of Commerce in Tanzania starts behaving like a liberal America-last advocacy group, itās time to pull the plug...."
"... I encourage all US commercial interests, diplomats, and Embassy staff to remove their affiliations with such a group acting in direct opposition of the President of the United States until further notice......ā
This development coincides with President Trump's December 16, 2025, proclamation expanding U.S. travel restrictions, adding Tanzania to a list of 15 countries facing partial visa suspensions.
The backdrop includes severe human rights abuses under President Samia Suluhu Hassan's government following her re-election with 97.66% of the vote in elections criticized by observers as falling short of democratic standards.
President Hassan has defended the crackdown while spreading propaganda accusing foreign powers, including the U.S., of sponsoring diaspora activists who amplified Tanzanians' voices against electoral fraud and repression.
Coudrey's action signals growing U.S. private sector backlash, urging alignment with America-first principles over entities perceived as enabling anti-American agendas abroad.
===============================
View attachment 3520442
Mpaka leo hata kuwapatia wananchi wenu maji salama(hata yasiyo salama) baada ya miaka sitini na kadhaa tangu uhuru all of sudden mnataka kuja na miracle solutions zipi mjiweze tena bila ya misaada ambayo pia mlikuwa mnaifuja tu.Kama Taifa tuone tunaweza kufanya bila wao, Acha waondoke watakuja wengine
Bila shaka watu kama nyinyi ndo mmemzunguka na kumpa ushauru mama. Kisa nyinyi mnalipwa buku 7 kuposti mitandaoni mnahisi watu wote wanaishi hivyo.Kama Taifa tuone tunaweza kufanya bila wao, Acha waondoke watakuja wengine
Kama Taifa tuone tunaweza kufanya bila wao, Acha waondoke watakuja wengine
"...When the American Chamber of Commerce in Tanzania starts behaving like a liberal America-last advocacy group, itās time to pull the plug...."
"... I encourage all US commercial interests, diplomats, and Embassy staff to remove their affiliations with such a group acting in direct opposition of the President of the United States until further notice......ā
Mkuu unataka maji watuletee mabeberu š¤£View attachment 3520517Una maji ya safi na salama ya uhakika kwanza.?
Watatoa buku 7 kwa wangapi nchi nzima ....hakuna kitu kama hchoBila shaka watu kama nyinyi ndo mmemzunguka na kumpa ushauru mama. Kisa nyinyi mnalipwa buku 7 kuposti mitandaoni mnahisi watu wote wanaishi hivyo.
Kuna wafanyabiashara wa kitanzania kuna waajiriwa wanapata kipato kupitia hao watu.
Atakuja mwingnevipi wewe ukiondoka? ...