MIMI BABA YENU
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 319
- 755
Shirika la Air Tanzania limeingia kwenye makubaliano na kampuni ya China iitwayo Touchroad International Holdings Group, ili kutangaza sekta ya utalii Tanzania kwa kuwasafirisha wageni wa kitalii kutoka Hangzhou China na kuwaleta moja Kwa moja hapa nchini kwa kutumia ndege ya Air Tanzania aina ya Boeing 787-8 Dreamliner.
Kwa mujibu wa makubaliano, safari hizo zitafanyika kila wiki ikiwa na wataliii sio chini ya mia mbili (200) na Safari ya kwanza itaanza mwezi wa nane mwaka huu.
Kwa mujibu wa makubaliano, safari hizo zitafanyika kila wiki ikiwa na wataliii sio chini ya mia mbili (200) na Safari ya kwanza itaanza mwezi wa nane mwaka huu.