barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,828
We are excited to let you know that we are heading to Toulouse,France to bring our first A330 "Ubumwe" to the land of a thousand hills.
Tarehe 28/09/2016 Rwanda italeta moja kati ya ndege zake mbili mpya aina ya Airbus330(200 and 300 series) zitakazokuwa zikifanya safari zake kati ya Kigali na Asia na Ulaya.Moja ya ndege hilo wameipa jina "UBUMWE"
Ndege hizo A330-200 ina uwezo wa kubeba abiria 261 kwa wakati mmoja na nyingine A330-300 ina uwezo wa kubeba abiria 300 kwa wakati mmoja.
Rwanda itakuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki kumiliki ndege aina ya A330-200/300.Ujio wa ndege hizo unafanya Rwanda kuwa na Dash8-Q400,Boeing,CRJ-900 ambazo zinasafairi sehemu mbalimbali za Afrika na Asia.
Hili ni "somo" kwa ATC toka RwandAir,ambao miaka kadhaa iliyopita waliqnza kwa kumiliki Dash8-Q400 na leo wanashusha A330-2/3 brand New.Sasa Rwanda anaenda kuwa mshindani mkubwa wa KQ ktk soko la usafiri wa anga Afrika ya Mashariki.Hii ni changamoto kwa ATCL inayofufuka toka ktk usingizi wa kutafunwa na "majizi" na "mafisadi" ambao kumbadili twiga tu wa nembo ya ATCl toka yule aliyesimama mpaka kuja yule aliyeinama iligharimu zaidi ya milioni 100,mchoro ambao angeweza kupewa kijana wa Fine Arts na akauchora.
ATCL iliyokuwa inaenda kushonesha uniform za Wahudumu wake Singapore na Malaysia na mtu anayeenda kusubiria kushoneshwa kwa nguo hizo anakaa huko miezi mitatu mpaka nguo zinakamilika,haiwezi kufikia hatua hii ya RwandAir kama upuuzi huo utaendelea.
Tuendelee kuitakia ATCL yaliyomema,ili kama vile "tulivyoshauriwa" kununua Dash8-Q400 na Rwanda,basi nasi tufuate nyayo na hatimaye miaka sita ijayo tuwe na "Ubumwe" yetu ya ATCL...Airbus 330/200
Tarehe 28/09/2016 Rwanda italeta moja kati ya ndege zake mbili mpya aina ya Airbus330(200 and 300 series) zitakazokuwa zikifanya safari zake kati ya Kigali na Asia na Ulaya.Moja ya ndege hilo wameipa jina "UBUMWE"
Ndege hizo A330-200 ina uwezo wa kubeba abiria 261 kwa wakati mmoja na nyingine A330-300 ina uwezo wa kubeba abiria 300 kwa wakati mmoja.
Rwanda itakuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki kumiliki ndege aina ya A330-200/300.Ujio wa ndege hizo unafanya Rwanda kuwa na Dash8-Q400,Boeing,CRJ-900 ambazo zinasafairi sehemu mbalimbali za Afrika na Asia.
Hili ni "somo" kwa ATC toka RwandAir,ambao miaka kadhaa iliyopita waliqnza kwa kumiliki Dash8-Q400 na leo wanashusha A330-2/3 brand New.Sasa Rwanda anaenda kuwa mshindani mkubwa wa KQ ktk soko la usafiri wa anga Afrika ya Mashariki.Hii ni changamoto kwa ATCL inayofufuka toka ktk usingizi wa kutafunwa na "majizi" na "mafisadi" ambao kumbadili twiga tu wa nembo ya ATCl toka yule aliyesimama mpaka kuja yule aliyeinama iligharimu zaidi ya milioni 100,mchoro ambao angeweza kupewa kijana wa Fine Arts na akauchora.
ATCL iliyokuwa inaenda kushonesha uniform za Wahudumu wake Singapore na Malaysia na mtu anayeenda kusubiria kushoneshwa kwa nguo hizo anakaa huko miezi mitatu mpaka nguo zinakamilika,haiwezi kufikia hatua hii ya RwandAir kama upuuzi huo utaendelea.
Tuendelee kuitakia ATCL yaliyomema,ili kama vile "tulivyoshauriwa" kununua Dash8-Q400 na Rwanda,basi nasi tufuate nyayo na hatimaye miaka sita ijayo tuwe na "Ubumwe" yetu ya ATCL...Airbus 330/200