BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,370
- 8,107
Taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma, Jerry Silaa imeonesha kuwa hasara ya shirika Shirika la Ndege Nchini (ATCL) imepungua kutoka Tsh. Bilioni 36 mwaka 2020/21.
Aidha ameishauri Serikali kuharakisha mchakato wa utekelezaji wa kuhamisha umiliki wa Ndege 11 kutoka Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) kwenda Shirika la Ndege (ATCL) ili kuondokana na tatizo la kuwa na mtaji hasi wa Tsh. Bilioni 239.
Kamati hiyo pia imeeleza kuwa Shirika hilo limekuwa na ongezeko la mapato kutoka Tsh. Bilioni 58 mwaka 2018/19 hadi Tsh. Bilioni 239 mwaka 2021/22 na hasara imekuwa ikipungua ambapo mwaka 2018/19 hasara ilikuwa Tsh. Bilioni 48, mwaka 2019/20 Tsh. Bilioni 60, mwaka 2020/21 Tsh. 36, mwaka 2021/22 Tsh. Bilioni 27.
Mwaka wa Fedha 2019/2020, ilipata hasara ya TZS Bilioni 60.24
Aidha ameishauri Serikali kuharakisha mchakato wa utekelezaji wa kuhamisha umiliki wa Ndege 11 kutoka Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) kwenda Shirika la Ndege (ATCL) ili kuondokana na tatizo la kuwa na mtaji hasi wa Tsh. Bilioni 239.
Kamati hiyo pia imeeleza kuwa Shirika hilo limekuwa na ongezeko la mapato kutoka Tsh. Bilioni 58 mwaka 2018/19 hadi Tsh. Bilioni 239 mwaka 2021/22 na hasara imekuwa ikipungua ambapo mwaka 2018/19 hasara ilikuwa Tsh. Bilioni 48, mwaka 2019/20 Tsh. Bilioni 60, mwaka 2020/21 Tsh. 36, mwaka 2021/22 Tsh. Bilioni 27.
Mwaka wa Fedha 2019/2020, ilipata hasara ya TZS Bilioni 60.24