Nimejikuta nacheka badala ya kusikitika. Hivi hao wabunifu wa hizo uniform zinazogharimu mamilioni yote hayo hawajawahi hata kupanda ndege moja wakajifunza cabin crew wa wenzao wana uniform za namna gani? Duh, wauza bar wa Rombo green view wana uniform bomba sana kuliko hizi, na zimewaghalimu less than milioni mbili kuzishona. Hapa kwa kweli wanaomtetea Chizi na wenyewe ni machizi tu. Huyu akamatwe afungwe kabisa pumbafu zake.
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
Clouds fm wamesema Chizi alikuwa amestaafu kazi mwaka jana na hela zake aikuwa amesha lipwa.
Mbona unadandia basi kwa mbele wewe mi nilichosema kwamba uniform sio hizo zilizoko kwenye picha zilizowekwa sasa swala la nakubaliana na usd 50 wapi nimeliongelea kwenye thread yangu watu wengine bwana sio wametoka usingizini,hebu kakojoe ukalale.....
Hiyo haitoshi, walipelekwa maofisa wawili eti kuzisimamia zishonwe. wacha Chisi afukuzwe, jizi kubwa
Duh,baada ya kumsikiliza Dr. Mwakyembe,nimeamini hii nchi ina zaidi ya uozooooo.Mikataba ya kijinga kabisa.Kwa hapo mimi namuunga mkono asilimia 100% kwa kuwapiga chini hiyo top management, maana haibebeki.UNIFORMS kwa usd 49,000?Tena Jozi 17 tuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.I'm very dissapointed,no wonder why watu wanakwepa kodi kwasababu ya huu upuuzi.Na watanzania walioko ughaibuni hawataki kurudi kwa ajili ya haya maduduz
Wangetafuta basi angalau wadada wazuri wazuri zikawapendeza...
Tatizo lingine ni la hao walioenda kukaaa huko zaidi ya mwezi kufuatilia ushonaji?? hivi ukipeleka nguo kwa fundi ni lazima ukae hapo kwake unaangalia hadi amalize kushona??? hii ni balaaaaa zaidiiii, ndio tunaisikia. Ndo maana wafanyakazi wanamlilia huyo bosi wao, ni kama wale wa JAIRO.Kitenge/batiki kwa usd 49,000 duh!!
WEWE ULITAKA AMWEKE NANI? Uwe muwazi.Mwakyembe anapayuka ili kujustify usanii wa kumuweka binamu yake. Mpaka CAG atakapokagua hapo na kuthibitisha hayo matumizi ndo nitaamini. Amejumlisha gharama za safari na malazi ya hao maafisa kwenye uniform bila ya kueleza cost per unit uniform ni shs ngapi. Sasa mitanzania mijinga ikishaona tu inakurupuka na kusema huu ni ufisadi. Haiingii akilini maafisa wa shirika waende kushona nguo uchina halafu wakae huko huko kuzisubiria. Tupate taarifa kutoka upande wa pili ndio tufanye judgement. We hujiulizi kwa nini Mwakyembe alikuwa anaongea kwa jazba na kutokwa na mapovu?? Anataka kuficha kukurupuka kwake.
siku si nyingi utajisikia raha kuitwa mtanzania...
Mwakyembe anapayuka ili kujustify usanii wa kumuweka binamu yake. Mpaka CAG atakapokagua hapo na kuthibitisha hayo matumizi ndo nitaamini. Amejumlisha gharama za safari na malazi ya hao maafisa kwenye uniform bila ya kueleza cost per unit uniform ni shs ngapi. Sasa mitanzania mijinga ikishaona tu inakurupuka na kusema huu ni ufisadi. Haiingii akilini maafisa wa shirika waende kushona nguo uchina halafu wakae huko huko kuzisubiria. Tupate taarifa kutoka upande wa pili ndio tufanye judgement. We hujiulizi kwa nini Mwakyembe alikuwa anaongea kwa jazba na kutokwa na mapovu?? Anataka kuficha kukurupuka kwake.
Usikute kwanza zimeshonwa kwa fundi Juma tu pale Posta
Ulishawahi kudandia ni nini. Majeruhi hutoacha kuwajua! Pole jamaa yangu. Kila mianya itazibwa soon.
Wanajamvi, ndiyo Uniform zenyewe hizi, ndiyo hapo utakaposhindwa kushangaa na kuanza kujiuliza hivi ni lini tutaamua kuacha kujiaibisha wenyewe kwa mambo yaliyo wazi kama hili.
Sio kosa lako ukikua utaacha,Majeruhi wa nini sasa ?siko kwenye hiyo sekta kwa taarifa yako I have nothing to loose in this saga nilikuwa nasahihisha tu kilichoonyeshwa kwenye picha.mi siishi mjini kwa mianya kama unavyofikiri naishi kwa jasho langu bana.
Sasa mbona mapovu yanakutoka hivyo! Kunywa maji kwanza!
chapa lapa.....