ATC Kwenda Dodoma

Chief

Platinum Member
Jun 5, 2006
3,290
2,619
Vipi ATC Kwenda Dodoma leo asubuhi? Dk 49 tangu ipae ipo Kisarawe tu inazunguka zunguka?
 

Attachments

  • Screenshot_20201027-065438.png
    Screenshot_20201027-065438.png
    97.4 KB · Views: 1
Hilo panga boy liliondoka zanzibar na baadaye kuelekea kilimanjaro. Limefika Dodoma saa 3 na dakika 55 sio kawaida.
 
Mungu ni mkubwa kutuonyesha uwezo wa ndege zilizonunuliwa kwa kodi zetu kwa maamuzi ya mtu mmoja kipindi hiki cha uchaguzi mkuu huu.
 
Nini cha ajabu hapo,au mgeni wa kupanda ndege?
Huoni cha ajabu? Ndege ilikuwa iende Dodoma imezunguka kwenye anga ya Dar kwa muda wa saa 1 na kidogo ikarudi tena Dar? Huoni kuwa kulikuwa na tatizo?
 
Huoni cha ajabu? Ndege ilikuwa iende Dodoma imezunguka kwenye anga ya Dar kwa muda wa saa 1 na kidogo ikarudi tena Dar? Huoni kuwa kulikuwa na tatizo?
Hakuna cha ajabu hapo mkuu..nazidi kusisitiza.
 
Back
Top Bottom