Naona imerudi Dar baada ya kukaa angani kwa saa 1 hivi.Vipi ATC Kwenda Dodoma leo asubuhi? Dk 49 tangu ipae ipo Kisarawe tu inazunguka zunguka?
Kuna mtu alikua hatakiwi afike DodomaShida ni nini haswa?
Huoni cha ajabu? Ndege ilikuwa iende Dodoma imezunguka kwenye anga ya Dar kwa muda wa saa 1 na kidogo ikarudi tena Dar? Huoni kuwa kulikuwa na tatizo?Nini cha ajabu hapo,au mgeni wa kupanda ndege?
hapa umekula buku 7 ya Bashiru ya bure kabisa.Tanzania ya Magufuli inapaa kiuchumi
Hakuna cha ajabu hapo mkuu..nazidi kusisitiza.Huoni cha ajabu? Ndege ilikuwa iende Dodoma imezunguka kwenye anga ya Dar kwa muda wa saa 1 na kidogo ikarudi tena Dar? Huoni kuwa kulikuwa na tatizo?
Inategemea na booking, precision kuanzia 180k, ATC kitu kama 238kDsm to dodoma nauli shs ngap????
Duuuuu.....inamaana Naul ya ATC ipo juuu kuliko precisionInategemea na booking, precision kuanzia 180k, ATC kitu kama 238k
Ni maboksi ya bao la mkono hayo wanapata kigugumizi.Vipi ATC Kwenda Dodoma leo asubuhi? Dk 49 tangu ipae ipo Kisarawe tu inazunguka zunguka?
Leo msikubali ku tumwa tumwa ilhali wanaowatuma wako na wake zao wanasubiri matokeo.Ni maboksi ya bao la mkono hayo wanapata kigugumizi.