Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,787
- 3,681
Naunga mkono hoja; yaani mtambuzi anataka kutuambia mke au mume kutembea hovyo ruksa kwa kuwa hakuna anaye mmiliki. Hizo ni theory kwenye real life tutaendelea kuwa na wivu hacha tuitwe wajinga.
na wajinga ndio waliwao nyumba kubwa upo hapo,hivyo endeeleeni kuitwa wajinga.