bwanashamba
Senior Member
- Mar 29, 2010
- 193
- 3
Jamani tuwape shavu waliousika kutujengea
baraza jipya la mitiani lililopo maeneo ya mbezi
beach makonde
baraza jipya la mitiani lililopo maeneo ya mbezi
beach makonde
Umakini unahitajika katika kuchangia mada muhimu kama hii kwani imekuwa ikituzawadia viongozi wa kiaina kwa mtindo huu wa sisi wapiga kura kufanya mzaha kwenye mambo ya msingi.Ni bora nchi iuzwe alafu kila mtu apewe chake kieleweke
Siasa bana
Yaani wananchi ni wapuuzi sana kama wakikubaliana na propaganda hii
1: Hoteli ya Lakairo ni ya Philemon Sarungi na baadhi ya watu na Lameck anaisimamia tu
ni kweli hoteli ni ya sarungi yeye ni msimamizi tu,may be sarungi anataka kulipa fadhili
Maji hufuata mkondo. Inawezekana. Mbona watoto wa wanasheria ni wanasheria, madaktari pia, wahasibu nk. Kuipenda kazi ya baba yako na kujitahidi uwe hicyo inawezekana Tatizo ni pale utakapopewa tu kwa sababu ya baba yako au ndugu yako.