Atakayecheka Mwisho ndio atacheka Sana

Atakayecheka Mwisho ndio atacheka Sana

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,183
Reaction score
26,552
Maskini wa Roho walishangilia sana kukamatwa na kupigwa pingu kwa bilionea wa TILISHO BUS pale Mbezi Stendi.

Maskini hao hawakuishia hapo, walimzomea na kumdhihaki as if alikuwa anawanyimafedha.

Maskini hao ndio wamiliki wa Maduka Pale Stendi na hawalipi Kodi.

HABARI.

Maduka kuondolewa a kuwekwa vibanda vya tiketi na ofis za mabasi.

Walicheka wa kwanza, Sasa Watalia wa mwisho
 

Attachments

  • v14025g50000da67dmvog65m551c0b8g.mp4
    3.5 MB
hapa nimemkumbuka magufuli.kiduka changu kitaondolewa hapo mbezi sasa nukale wapi?Awamu ya sita imekuwa ya hovyo sana.2030 siyo mbali lazima tuwafurushe wazanzibari wote ili kuiokoa Tanganyika.
 
Waondoe na ile mitambo yao ya kulipia kuingia stand maana hata kwenye ndege, meli na treni hatutozwi fedha ya kuingilia kupanda vyombo hivyo, why kwenye stendi za mabasi waliko walala hoi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom