Unahitaji body detoxification na antifungal therapy lakini ni lazima daktari ajue ni aina gani mold umekuwa exposed to na mycotoxins kwenye mwili wako pamoja na nutrition supplements.
Angalia mazingira ya nyumbani kwenu, Kama paa linavuja yaani Kama unaona ceiling board zimeweka maduara yenye rangi ya kijani au weusi, bafuni au aircondition unit, mold growth depend on moisture, dark area and low air circulation.
achen kuwaza ushirikina bana. ndugu mimi nahc umekosa uvumilivu. mi ningekushauri subir Mungu ajibu maombi yako.Wewe hao Majirani wanao kuroga unachotakiwa utibiwe kwanza kisha ufanyiwe dua za kinga kisha wajaribu tena hao wana kuroga mwisho wao utawaonea huruma. Si umesema umekwenda Hospitali mpaka kuombewa na wachungaji hujapona? Wasiliana na Mimi MziziMkavu hauchimbwi Dawa Pole sana.
Mold can make your life a living hell, najua ninachokizungumza kwani yalinitokea ndio maana nipo tayari kukusaidia kwa Hali yoyote, hakuna daktari anayelijua hili bongo watu wengi wanasumbuliwa na mold na wala hawajui mpaka wanakufa, nilipanga kwenda kwenye television kuzungumzia hili tatizo Nina uhakika kuna watanzania wengi likawagusa, mtu mwingine unakuta haumwi kabisa ila anakuwa mgomvi,Ana tabia za ajabu familia Inashindwa kumuelewa kumbe mycotoxins ime damage brain yake bila kufanya detoxification Hali inabaki Kama ilivyo.[
Poor affection with the people hii nayo naambatana nayo maishani kwangu kaka!!
Ndugu zangu,
mimi ni kijana wa pekee na wa mwisho katika familia yetu yenye jumla ya watoto sita. Ni familia ya kimaskini ila watoto tunafanya kila linalowezekana kuhakikisha tunapunguza ukali wa maisha hapa nyumbani kwa kufanya kazi bila kuchoka usiku na mchana ila changamoto kubwa imekuwa husuda na kijicho kwa majirani zetu ambao wanahaha kushika shati familia hii kwa ushirikina lakini mbali na hayo yote we never give u
p united we stand and moves foward regardless our acceleration toward our goals.
binafsi mimi ndio muhanga na muahthirika mkubwa kwa hili gumu kwani kwa zaidi ya miaka 19 hadi sasa ndugu zangu sijawahi kuwa na furaha maishani mwangu....trust me its all about misery, sickness, lack of affection, unlucky na mambo mengi mabaya kwa binadamu..there comes a times it feels like the world is upon my shoulder..can't take this shiit no more nimejaribu kuwa mwema, muungwana na mnyenyekevu kwao bila mafanikio sitaki kuchuma dlhambi tena kwa mateso niliyopata katika dunia hii imetosha mungu ni mwema atanipumzisha milele kiumbe wake ain't fear death!! because its inevitable am ghood to go for it for their happiness and fantasy..
nilikuwa na plan ya kutafuta anyone with the solution kwa maaana ya traditional healer au yeyote mwenye productive ideas aweze nisaidia NITOE AWARDS ya tshs milioni moja but naona kama its a waste of time watu nao wamekuwa matapeli tu nowdays..yaani we living in craaaazy time folks!!! nimetibiwa na wataaalamu wa tiba asilia, hospitali za rufaa na kuombewa na wachungaji lakini hoola!!! hell no!! mungu ananitaka mwanae si bure...na he is the master of the people so far so am good to go.....though ukioniona live huwezi hata kuhisi kama mimi ni mgonjwa!! huwezi!
nimetoa dukuduku langu nahisi kama relief flani nimepata...!
kila la kheri wandugu.....
Mkuu piga nyumba ya jirani moto!
Hawa washirikina dawa yao ni moto tu.
Pole. Leo naenda kwenye maombi mahali fulani. Nitumie jina lako kwenye pm ili niende nalo pale. Mungu wetu ni mwema naamini utakuwa mzima tena. Na hiyo hela yako utamtolea Mungu sadaka ya shukrani.
Ushauri mbovu mkuu unaotowa muambie akaombewe kwa Masheikh au Kwa Wachungaji sio kupiga moto nyumba ya jirani. Unamwambia achukuwe Sheria mikononi mwake Aaakh? wewe vipi? ingelikuwa wewe ni jirani yako ungelimruhusu akupige moto nyumba yako? mkuki Kwa nguruwe kwa binadamu ni mchungu.......Mkuu piga nyumba ya jirani moto!
Hawa washirikina dawa yao ni moto tu.
Kabla hujawasiliana na mimi kwa njia ya email yangu ninakupa du fanya kila siku asubuhi maramoja na usiku mara moja unapoamka Soma Zaburi 91 Kwa ajili ya ulinzi wako na ndugu zako wote hapo nyumbani.Amina mpendwa! Bila shaka nitakutumia kwani nahisi nimefungwa hata kufanya maombi ya namna yoyote ile kwani mara kwa mara napanga nifunge na kuomba kanisani lakini ghafla napoteza kabisaa morali na munkari wa kwenda kanisani.Siku zote mungu ni mwema, hatanifungua tu siku moja na pesa hii nitaenda kuimarisha kazi ya mungu.Hallelijah!!
Umewahi kuishi nje ya Tanzania? Jaribu kubadili mazingira aisee, sometimes ni psychological problems ndio zinakusumbua. Pia mcheki Mzizi mkavu anaeza kukupa ushauri[/
Kaka hilo nalo laweza kuwa na ukweli ndani yake ila nasita kukubali moja kwa moja kwamba suala hili liko kwenye traumatic experiences and psychological aspects hapana sidhani kaka...I can feel something stranger within my body...enhee!!
Pole sana
Ndugu zangu,
mimi ni kijana wa pekee na wa mwisho katika familia yetu yenye jumla ya watoto sita. Ni familia ya kimaskini ila watoto tunafanya kila linalowezekana kuhakikisha tunapunguza ukali wa maisha hapa nyumbani kwa kufanya kazi bila kuchoka usiku na mchana ila changamoto kubwa imekuwa husuda na kijicho kwa majirani zetu ambao wanahaha kushika shati familia hii kwa ushirikina lakini mbali na hayo yote we never give u
p united we stand and moves foward regardless our acceleration toward our goals.
binafsi mimi ndio muhanga na muahthirika mkubwa kwa hili gumu kwani kwa zaidi ya miaka 19 hadi sasa ndugu zangu sijawahi kuwa na furaha maishani mwangu....trust me its all about misery, sickness, lack of affection, unlucky na mambo mengi mabaya kwa binadamu..there comes a times it feels like the world is upon my shoulder..can't take this shiit no more nimejaribu kuwa mwema, muungwana na mnyenyekevu kwao bila mafanikio sitaki kuchuma dlhambi tena kwa mateso niliyopata katika dunia hii imetosha mungu ni mwema atanipumzisha milele kiumbe wake ain't fear death!! because its inevitable am ghood to go for it for their happiness and fantasy..
nilikuwa na plan ya kutafuta anyone with the solution kwa maaana ya traditional healer au yeyote mwenye productive ideas aweze nisaidia NITOE AWARDS ya tshs milioni moja but naona kama its a waste of time watu nao wamekuwa matapeli tu nowdays..yaani we living in craaaazy time folks!!! nimetibiwa na wataaalamu wa tiba asilia, hospitali za rufaa na kuombewa na wachungaji lakini hoola!!! hell no!! mungu ananitaka mwanae si bure...na he is the master of the people so far so am good to go.....though ukioniona live huwezi hata kuhisi kama mimi ni mgonjwa!! huwezi!
nimetoa dukuduku langu nahisi kama relief flani nimepata...!
kila la kheri wandugu.....
Call dokta mti mkavu wa Gamboshi Magu hakika mimi niliteswa sana na haya mambo lakini nilipofikiswa kila kitu kiliisha hadi maadui zangu wakajisalimisha na nimewasamehe. Namba yake ni 0652380622 dk Mzuzu.