Atafia mikononi mwangu

Atafia mikononi mwangu

Bado hajafa tu? lete updates za kisa hiki cha Globalpublishers dot com.
 
Dr kakimbia katuachia hadithi.
Lakini ni hadithi nzuri
 
That is not medical ethics ukiua ww unaeza msababishia kes mwingine mfano nurse je utakua umemtendea haki huyo nurse ambae ataenda fungwa jela kwa uzembe kumbe sio yeye think twice malipo ni hapa hapa dunian iyo condition ni adhabu tosha kwake
 
Nimempm daktari wetu kasema mambo yameenda kama yalivyopangwa..anashukuru kwa ushauri wenu..
 
Back
Top Bottom