Hii ni kweli..Ukiwa challenged haimanishi mtu amedharau tafakuri yako, lakini namna unavyo react ndivyo inavyo prove ukomavu wa fikra yako.
Wanaogopa chumvi na sukari zisipande kwa wakati mmojakwa nini viongozi wa serikal mtandao X na machawa mnafunga comment
Yeah kama sehemu ya kujifariji. Hii ni kweliUgumu wa maisha umewafanya baadhi ya raia
wanaona kila mtu ni mbaya waishia kutoa maneno machafu/matusi
unakuta mtu anatoa maneno machafu mpaka unajiuliza huyu yupo timamu kiakili kweli,Yeah kama sehemu ya kujifariji. Hii ni kweli
Kama mtu anakutukana wewe binafsi badala ya kujibu hoja, jibu tu kwamba hapa umefanya ad hominem logical fallacy, umemshambulia mtoa hoja badala ya kujibu hoja.Ukiwa challenged haimanishi mtu amedharau tafakuri yako, lakini namna unavyo react ndivyo inavyo prove ukomavu wa fikra yako.
🔨🔨📍Kama mtu anakutukana wewe binafsi badala ya kujibu hoja, jibu tu kwamba hapa umefanya ad hominem logical fallacy, umemshambukia mtoa hoja badala ya kujibu hoja.
Akirudia tena, mwambie tu wewe hujafikisha viwango vya kufanya majibizano ya hoja na mimi, unafanya ad hominem logical fallacy.
Mpeleke ignore list ujibizane na watu waliofikisha viwango.
I do that almost weekly. Jana tu nimemuongeza mtu ignore list kwa sababu hii hii.
Unaondoa majibizano mengi ya ujinga na kutukanana tu.
Hutakiwi kujibizana na ntu ambaye anatumia ad hominem logical fallacy, wakati weee unataka majibizano ya hoja.
Mkuu,Kama mtu anakutukana wewe binafsi badala ya kujibu hoja, jibu tu kwamba hapa umefanya ad hominem logical fallacy, umemshambukia mtoa hoja badala ya kujibu hoja.
Akirudia tena, mwambie tu wewe hujafikisha viwango vya kufanya majibizano ya hoja na mimi, unafanya ad hominem logical fallacy.
Mpeleke ignore list ujibizane na watu waliofikisha viwango.
I do that almost weekly. Jana tu nimemuongeza mtu ignore list kwa sababu hii hii.
Unaondoa majibizano mengi ya ujinga na kutukanana tu.
Hutakiwi kujibizana na ntu ambaye anatumia ad hominem logical fallacy, wakati weee unataka majibizano ya hoja.
Lazima iwe na raia wengi kwa sababu wajinga ni wengi.Mkuu,
nadhani ignore list yako itakuwa na raia wengi sana.
hatari sanaLazima iwe na raia wengi kwa sababu wajinga ni wengi.
Kwa mujibu wa sensa ya mwisho ilikuwa na raia 162, kuna wengi sana wameongezeka.
Ignore list inasaidia sana kupunguza majibizano ya kijinga.
Sema hapa JF watu wa Chadema ukiwapingakwa nini viongozi wa serikal mtandao X na machawa mnafunga comment
Halafu watu wengine hawaelewi ignore list maana yake nini, wanauliza uki ni ignore nitakosa nini?hatari sana
Anayepinga unakuwa mwanachama automatic CHADEMASema hapa JF watu wa Chadema ukiwapinga
😂😂😂😂😂Kama mtu anakutukana wewe binafsi badala ya kujibu hoja, jibu tu kwamba hapa umefanya ad hominem logical fallacy, umemshambukia mtoa hoja badala ya kujibu hoja.
Akirudia tena, mwambie tu wewe hujafikisha viwango vya kufanya majibizano ya hoja na mimi, unafanya ad hominem logical fallacy.
Mpeleke ignore list ujibizane na watu waliofikisha viwango.
I do that almost weekly. Jana tu nimemuongeza mtu ignore list kwa sababu hii hii.
Unaondoa majibizano mengi ya ujinga na kutukanana tu.
Hutakiwi kujibizana na ntu ambaye anatumia ad hominem logical fallacy, wakati weee unataka majibizano ya hoja.