mpaka unanioa hujajua kama nna gubu sijui ndo hayo makelele.wakimya ni wazuri zaidi..
Ukiongea pia ni vizuri but choose ur words na angalia mood ya mwenzio...
Ustaarabu utawale...
mpaka unanioa hujajua kama nna gubu sijui ndo hayo makelele.wakimya ni wazuri zaidi..
Ukiongea pia ni vizuri but choose ur words na angalia mood ya mwenzio...
Ustaarabu utawale...
shosti usinielewe vibaya...
Si maanishi mwanamke asimwambie mumewe hayo mazungumzo..
Ninachesema mwenzio akirudi amechoka mpe space kwanza....
mpaka unanioa hujajua kama nna gubu sijui ndo hayo makelele.
shosti usinielewe vibaya...
Si maanishi mwanamke asimwambie mumewe hayo mazungumzo..
Ninachesema mwenzio akirudi amechoka mpe space kwanza....
wanaume je,ningekujua msoma magazeti hodari naolewa nawe ili iweje...nyie ndo mkiwa mwataka chauvunguni mwainama kwelikweli:hand:wanawake kabla ya kuolewa huwa wanaficha
their true colors....
Huwajui mpaka uwaweke ndani...ndo unawatambua...
mbona nyie hamtupi space tukiwakuta mmetangulia nyumbani. Kwa hiyo muda gani unafaa mpewe ili niweze kuongea na mume akirudi home?
Mwanaumw anayewahi kurudi nyumbani ana mambo huyo.
Mwanaume akiwahi kurudi home ugomvi sana home, ndio maana kuna, baa, vijiwe vya kahawa nk,
Will be back
wanaume je,ningekujua msoma magazeti hodari naolewa nawe ili iweje...nyie ndo mkiwa mwataka chauvunguni mwainama kwelikweli:hand:
Tupeane space wote na wewe sio uwahi kurudi uanze kero zako oohh nataka hiki na taka kile aahhh babu eeehh hata mie nimechoka ati??? Njoo soma magazeti yako angalia news utulie bila kuanza usumbufu wako
mwanamke yeyote hampendi msoma magazeti,hata kama hakuambii yaaani kooote huko yalikuwa hayasomeki mpaka nyumbani...taratibu jamani:rain:we hupendi wasoma magazeti?
Umenikumbusha kuna siku tulikuwa tunapata moja baridi, mwenzetu akaaga mida ya saa mbili usiku kuwa anawahi nyumbani. Mara akarudi tena bar mida ya saa nne usiku akisema ameamua kurudi b'se home hakukaliki.
Soma magazeti? Kuna utata hapa. News wataangalia saa ngapi wakati na wewe unataka kuangalia vile vipindi vyako? Labda ndio maana wanaangalizia news na JF huko huko kabla ya kurudi. Awahi halafu aperuzi mbele yako JF jukwaa la mapenzi na urafiki?
mwanamke yeyote hampendi msoma magazeti,hata kama hakuambii yaaani kooote huko yalikuwa hayasomeki mpaka nyumbani...taratibu jamani:rain:
tupeane space wote na wewe sio uwahi kurudi uanze kero zako oohh nataka hiki na taka kile aahhh babu eeehh hata mie nimechoka ati??? Njoo soma magazeti yako angalia news utulie bila kuanza usumbufu wako
ukisoma sana magazeti nyumbani hadhi inashuka:wink2:nilikuwa sijui aisee....thanx.......
Nitaacha now
gubu ni kumsumbua mumeo na matatizo yako..
Mfano mwenzio amerudi unaanza ooho ile pesa ya asubuhi niliyokuambia
ipo wapi?
Mara sijui nani alikuja kasema upuuzi gani....
Na mazungumzo yeyote yasiyo na maana.....
Wanaume tukirudi nyumbani kwanza tunataka space....
Na ukimya wa mda fulani hivi.....
Unasoma magazeti na kubadili channel za tv huku unawaza taratibu....
The last thing unachotaka ni mwanamke asie jua kunyamaza....
"At most," sio "at least."At least amechelewa sanaaaa arudi saa ngapi
wewe unafaa kabisa kuwa wife wangu...
space.....magazeti.....channel za tv......huwezi saidia kazi za nyumbani? Wewe ndo umechoka zaidi au?