King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,984
Addiction yoyote ina hasara ya kukufanya usitimize wajibu wako kwa jamii. Na mimi sijafocus kwenye madawa na pombe peke yake. Kuna addiction za ngono na za internet. Yaani tunajikuta tunatumia muda wa kazi, wa sala, wa kupumzika, wa kusoshalaizi na kuongea na faceless people!
Ungejua ni nguvu kazi kiasi gani tunapoteza usingesema hayo. Kuna watu wamesomeshwa na hela ya sirikali na wako useless kabisa wanalewa tu. Addiction za wabunge wako, badala ya kusoma makabrasha jioni wakitoka bungeni, wanasaka ngono na kunywa bia. Wakiingia bungeni wanaitika ndioo kama machizi! So addictions inaweza kuwa sehemu ya tatizo letu (you also need money to nurse different addictions, rushwa inaingia hapo)
mkuu hajasema ngono, kasema addiction, bongo kuna vijana wanaangamia na addiction za madawa ya kulevya, na vijana ni taifa la kesho au leo, tusipoziba ufa tutajenga ukuta
Ungejua ni nguvu kazi kiasi gani tunapoteza usingesema hayo. Kuna watu wamesomeshwa na hela ya sirikali na wako useless kabisa wanalewa tu. Addiction za wabunge wako, badala ya kusoma makabrasha jioni wakitoka bungeni, wanasaka ngono na kunywa bia. Wakiingia bungeni wanaitika ndioo kama machizi! So addictions inaweza kuwa sehemu ya tatizo letu (you also need money to nurse different addictions, rushwa inaingia hapo)
Waachwe hao kaka! Yani upange bajet kbs kwa ajili ya hao waangalia ngono? Ukiangalia nchi wanazofanya hayo hawana shida nyingi kama sisi